Bungeni: Mbowe aweka msimamo wa posho

Bungeni: Mbowe aweka msimamo wa posho

Kwa nini mleta mada hujaweka hapa nukuu ya maneno yao badala ya kueleza jumla jumla kuwa wamelìlia posho?! Weka hapa nukuu ya maneno wanayodai ongezeko la posho, au siku hizi mshahara na posho ni kitu kimoja?!
 
ameisema saa ngapi na kipindi kipi mimi sijaisikia natamani kuisikia
 
Nimekua nikijiuliza kila siku bila kupata majibu sababu za wabunge hususan wa chadema wakiongozwa na mbowe kutoonesha dhana ya uwajibikaji wa pamoja kwa vitendo;....wakati mbunge kijana ZITTO KABWE alipogomea kupokea posho ya kukaa kitako kwa vitendo licha ya vitisho vya spika kwamba atapoteza ubunge wake kwa kutoweka saini ya kupokea pesa hizo haramu wabunge wengine wa chama cha ZITTO wakiongozwa na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni wamekua wakionekana kwenye dirisha la mhasibu wa bunge wakipanga foleni dirishani hapo kuchukua fedha hizo haramu.

Je ni kwanini mbowe hakuitumia kofia yake ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni kumuunga mkono Zitto na kushawishi kambi nzima ya upinzani kugomea posho hiyo haramu na badala yake kusisitiza pesa hiyo kama ipo na haina kazi ipelekwe kwenye sekta ya afya inakohitajika sana?

Nawasalisha.
 
Nimekua nikijiuliza kila siku bila kupata majibu sababu za wabunge hususan wa chadema wakiongozwa na mbowe kutoonesha dhana ya uwajibikaji wa pamoja kwa vitendo;....wakati mbunge kijana ZITTO KABWE alipogomea kupokea posho ya kukaa kitako kwa vitendo licha ya vitisho vya spika kwamba atapoteza ubunge wake kwa kutoweka saini ya kupokea pesa hizo haramu wabunge wengine wa chama cha ZITTO wakiongozwa na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni wamekua wakionekana kwenye dirisha la mhasibu wa bunge wakipanga foleni dirishani hapo kuchukua fedha hizo haramu.

Je ni kwanini mbowe hakuitumia kofia yake ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni kumuunga mkono Zitto na kushawishi kambi nzima ya upinzani kugomea posho hiyo haramu na badala yake kusisitiza pesa hiyo kama ipo na haina kazi ipelekwe kwenye sekta ya afya inakohitajika sana?

Nawasalisha.

Huu ni udaku!
 
Ni laana mchaga kukataa pesa hata kama ni sh 10.
 
vioja badala ya hoja at work..

KIM KARDASH, huitaji kuwa na akili nyingi mno kuhoji kwa nini Mhe. Mbowe akiwa ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hakugomea posho. Utakuwa unataka kusumbua akili zako kuhoji pia kwa nini Pinda ambaye ni kiongozi wa serikali bungeni pamoja na Spika Makinda WANATHUBUTU KUSEMA KWAMBA MHESHIMIWA RAIS AMEIDHINISHA nyongeza ya posho hizo lakini State House distance itself from this truth at the same time! Otherwise utakuwa unamtuhumu Mhe. Mbowe personally kama alivyofanya kilaza Rejao hapo juu.
 
KIM KARDASH, huitaji kuwa na akili nyingi mno kuhoji kwa nini Mhe. Mbowe akiwa ni kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni hakugomea posho. Utakuwa unataka kusumbua akili zako kuhoji pia kwa nini Pinda ambaye ni kiongozi wa serikali bungeni pamoja na Spika Makinda WANATHUBUTU KUSEMA KWAMBA MHESHIMIWA RAIS AMEIDHINISHA nyongeza ya posho hizo lakini State House distance itself from this truth at the same time! Otherwise utakuwa unamtuhumu Mhe. Mbowe personally kama alivyofanya kilaza Rejao hapo juu.

unachanganya;tunauliza uwajibikaji wa pamoja miongoni mwa wabunge wa chadema kwenye suala la posho,kama yupo mbunge mmoja huko cdm ameweza kusimama kidete tena kwa vitendo tunauliza kwa nini mwenyekiti hakuungana na mbunge huyo katika hili..?
 
Hiyo hoja ya posho imewakamata pabaya CDM. Wameonyesha unafiki wa kutupwa. Kwenye posho wameishia maneno tu na Zitto kuwa shujaa wao na kwa hilo CDM hawampendi kweli Zitto.

Mkuu kwa taarifa yako Mbowe ameishaichukua V8 ya serikali. Tuache unafiki na uzandiki yanapokuja masuala ya ukweli. Mbowe kama kiongozi wa kambi ya upinzani ameshindwa kuonyesha uongozi kwa mfano, kama kiongozi alitakiwa yeye ndiye azikatae posho kwa vitendo kama Zitto. Alipoona Zitto kazikataa kwa vitendo kutekeleza sera ya CDM, Mbowe akakurupuka na kurudisha gari ya KUB, lakini sasa ameichukua tena.

Katika posho CDM wamekuwa wanafiki kuliko mashujaa kama wanavyotaka watu wawajue.
 
unachanganya;tunauliza uwajibikaji wa pamoja miongoni mwa wabunge wa chadema kwenye suala la posho,kama yupo mbunge mmoja huko cdm ameweza kusimama kidete tena kwa vitendo tunauliza kwa nini mwenyekiti hakuungana na mbunge huyo katika hili..?

Come'n KIM KARDASH, allow your brains to chew the facts, how many times has Hon. Mbowe led his MPs out of the parliament kupinga miswada inayopitishwa kishabiki na bunge lililojaa CCM?
 
Hiyo hoja ya posho imewakamata pabaya CDM. Wameonyesha unafiki wa kutupwa. Kwenye posho wameishia maneno tu na Zitto kuwa shujaa wao na kwa hilo CDM hawampendi kweli Zitto. Mkuu kwa taarifa yako Mbowe ameishaichikua V8 ya serikali. Tuache unafiki na uzandiki yanapokuja masiala ya ukweli. Mbowe kama kiongozi wa kambi ya upinzani ameshindwa kuonyesha uongozi kwa mfano, kama kiongozi alitakiwa yeye ndiye azikatae posho kwa vitendo kama Zitto. Alipoona Zitto kazikataa kwa vitendo kutekeleza sera ya CDM, Mbowe akakurupuka na kurudisha gari ya KUB, lakini sasa ameichukua tena.
Katika posho CDM wamekuwa wanafiki kuliko mashujaa kama wanavyotaka watu wawajue.

Hapa unaongelea CDM au Mhe. Mbowe personally? Binafsi sijakusoma vizuri!
 

Come'n KIM KARDASH, allow your brains to chew the facts, how many times has Hon. Mbowe led his MPs out of the parliament kupinga miswada inayopitishwa kishabiki na bunge lililojaa CCM?

Mkuu kwa suala la miswada hasa huo wa sheria ya kutunga katiba mpya ni kweli walifanikiwa sana, sina ibishi na hilo. Kwa kuwa walionyesha bungeni kwamba muswada si mzuri na wakayoka nje kisha wakatafuta avenue nyingine ya kufanikisha matakwa yao na wakafanikiwa. Kama wangefanya hivyo pia katika posho hakika nakuambia posho zingefutwa. Wameonyesha wanaweza kufanya mambo mengi na yakafanikiwa je kwa nini wasifanye na kwenye posho? Nawajua wabunge wa CDM ambao wanamchukia sana Zitto wakisema yeye ana pesa nyingi ndio maana anazikataa posho anataka kuwaponza wao ambao wengi wameingia bungeni kwa mara ya kwanza.
 
Hiyo hoja ya posho imewakamata pabaya CDM. Wameonyesha unafiki wa kutupwa. Kwenye posho wameishia maneno tu na Zitto kuwa shujaa wao na kwa hilo CDM hawampendi kweli Zitto.

Mkuu kwa taarifa yako Mbowe ameishaichukua V8 ya serikali. Tuache unafiki na uzandiki yanapokuja masuala ya ukweli. Mbowe kama kiongozi wa kambi ya upinzani ameshindwa kuonyesha uongozi kwa mfano, kama kiongozi alitakiwa yeye ndiye azikatae posho kwa vitendo kama Zitto. Alipoona Zitto kazikataa kwa vitendo kutekeleza sera ya CDM, Mbowe akakurupuka na kurudisha gari ya KUB, lakini sasa ameichukua tena.

Katika posho CDM wamekuwa wanafiki kuliko mashujaa kama wanavyotaka watu wawajue.

Unajua nchi hii imefikia pahala pabaya sana kwa ushabiki wa k.i.p.p.u.u.z.i wa siasa za maji taka,watu hawataki ukweli ujulikane hasa kama anaehusika ni mtu wanaempenda,hapa kuna tatizo lakini watu kwa ushabiki wanajaribu kushut down hoja na mods nao sijui wamelewa na nini wanaingia kichwa kichwa na kuizima hii hoja nimeiwasilisha ikiwa inajitegemea KWANINI MBOWE HAKUGOMEA POSHO,Lakini mtu anaamua kuichanganya na hoja nyingine ya sijui "mbowe aweka msimamo wa posho".!hivi mnataka kuficha nini wakati hili ni tatizo inabidi tulijadili hapa kwa kuwa ni house of great thinker na wahusika tunao uhakika wanaingia hapa,kama tunalipenda taifa lenu kuliko vyama ambavyo ni sawa na makoti ambayo tunaweza kuyavua any time tuwe fair,hakukua na sababu zozote za msingi kwa mods kuchanganya hizi thread...
 
Zitto is very smart,anawazid i kina mbowe,mrema,cheyo na wanasiasa wengine wa upinzani kwa kuwa anajua kusoma alama za nyakati...
 
Nimekua nikijiuliza kila siku bila kupata majibu sababu za wabunge hususan wa chadema wakiongozwa na mbowe kutoonesha dhana ya uwajibikaji wa pamoja kwa vitendo;....

Wakati mbunge kijana ZITTO KABWE alipogomea kupokea posho ya kukaa kitako kwa vitendo licha ya vitisho vya spika kwamba atapoteza ubunge wake kwa kutoweka saini ya kupokea pesa hizo haramu wabunge wengine wa chama cha ZITTO wakiongozwa na kiongozi wa kambi rasmi ya upinzani bungeni wamekua wakionekana kwenye dirisha la mhasibu wa bunge wakipanga foleni dirishani hapo kuchukua fedha hizo haramu.

Je ni kwanini mbowe hakuitumia kofia yake ya kiongozi wa kambi ya upinzani bungeni kumuunga mkono Zitto na kushawishi kambi nzima ya upinzani kugomea posho hiyo haramu na badala yake kusisitiza pesa hiyo kama ipo na haina kazi ipelekwe kwenye sekta ya afya inakohitajika sana?

Nawasalisha.
 
This is a c.rap!

Si Kila kitu afanye Mbowe, Zito ni makamu wa Kambi ya Upinzani.

Kwani CCM wote wanalilia hizo posho?

Grow up buddy!
 
Back
Top Bottom