Ngongo
Platinum Member
- Sep 20, 2008
- 21,204
- 37,555
Mkuu ukilitazama hili sakata lazima utamwonea huruma mheshimiwa Shibuda alisakamwa akapachikwa majina mabovu kisa kaeleza hisia zake kidogo atimuliwe ubunge kama madiwani wa CDM Arusha hata mwaka haujaisha wanalilia ongezeko la posho !.
kinachodaiwa na CDM ni POSHO.....Vigeu geu hawa.....niliogopa sana kuwaamini hawa wanasiasa maana chama chochote cha siasa ni kukamata tu dola na kusimamia maslahi yao binafsi, Basi!!!