JokaKuu
Platinum Member
- Jul 31, 2006
- 30,441
- 55,018
Wakati mwingine simlaumu sana Halima Mdee.Inasikitisha. Hao 19 wanaongea point sana bungeni lakini hoja zao hazina maana kwenye bunge la CCM. Zinakuwa na mashiko zikitokea anga za upinzani halisi hasa CHADEMA. Na Halima ana DNA ya CHADEMA haswa...
Hivi kati yetu ni nani alitegemea Magufuli atakufa?
Huenda Halima alipiga mahesabu ktk uraisi wa maisha wa Magufuli.
Kweli inasikitisha alipoangukia Halima Mdee.