babu bulicheka
JF-Expert Member
- Mar 26, 2021
- 822
- 1,048
Uliona wakati anaongea alikuwa anachezea shanga kiunoni hatare sanaKwa mara kwanza miaka 25 Lucy Mayenga kaongea....angalau maana kushindana kuvaa na kuibiana wanaume na kudanga
Uliona wakati anaongea alikuwa anachezea shanga kiunoni hatare sanaKwa mara kwanza miaka 25 Lucy Mayenga kaongea....angalau maana kushindana kuvaa na kuibiana wanaume na kudanga
Mkuu nilifikiri nimeona Mimi tu....😂😂😂...hivi alikuwa anachezea au zilikuwa. Zinampwelepweta akawa ana zipandisha juu zitulie pale kwenye maungio' ya tumbo na miguu!Uliona wakati anaongea alikuwa anachezea shanga kiunoni hatare sana
Mahakama itawang'oaAtakuwa anataka amalizie miaka yake mitano achukue pensheni aachane na siasa kabisa
Duh! Umeniharibia tumihogo twangu na chai ya limau nikipambana na Covid.Bora wasumangwe maana wamekaa kama furushi la mavi bungeni
Bora umeliona hilo mkuuNakweli patamu, ma professor wanakimbia lecture huko nakukimbilia bungeni itakuwa kina Halima jamani? Watu wanasema tu mama Tanzania aliteuliwaga na Mzee wa msoga kisha msimu uliofuata akagombea jimbo, wawaache jamani!
Hivi kuna mtu alishawahi kataa teuzi yeyote? Kama Dr SLAA anaunga juhudi zote kitu gani kwa Mdee wamwache apumue.Bora umeliona hilo mkuu
Maneno saba (7) uliyoyatumia hapa, yenye maana nzito kwelikweli; lakini kwa bahati mbaya sana kwa Tanzania hii ya sasa.Ukiwa na bei huwezi kuwa na heshima
Wamwache miaka elfu, au kwasababu ni wanawake ndiyo maana wanasakamwa kiasi hicho?Mbona mnamshambulia sana
Halima ?
Miaka ya karibuni, tumeshuhudia wanachama wengi wa Upinzani wakihamia CCM, hata iwe kwa kuhongwa, au hiari sasa limekuwa Jambo la kawaida kabisa.
Wengine wametunukiwa vyeo katika muda wote huo na wengine bado wanaendelea kulamba vyeo hadi sasa.
Halima ana nini cha maana kutofautisha na hao waliokimbilia CCM ?
Hao wabunge hawawezi kuachishwa hadhi ya Ubunge na Spika hili liko wazi.
Mwacheni Halima amalize muda wake wa miaka mitano ya awamu ya Sita.
Yeye hajawa wa kwanza kutofautiana na Chama chake.
Shida inajulikana, shida ni Njaa ndugu zanguni, kinachotafutwa ni Chakula.
Hivi nchi hii kuna mpinzani Mzalendo kweli. Angekuwepo CCM ingeisha angushwa.
Mi naona wazi kabisa, anayebaki Upinzani basi ana Cheo fulani, cheo kikiisha na akateuliwa mpinzani mwingine basi inatafutwa fursa nyingine.
Mwacheni Halima ale kama wanavyokula Wapinzani wengine wanaomaliza muda wao wa madaraka hali wakiwa vijana.
Kungekuwepo na Uzalendo kwenye upinzani basi CHADEMA wangeisha chukua Dola zamani sana.
Acheni Janja Janja, mwacheni Halima ale. Hakuna cha upinzani wala cha nini ni NJAA tu.
Duuh! Ndumu tena?!🤣🤣🤣 kumbe ile sauti ya zege ni sababu ya ndumuMzee Mdee na wake zake wanaishi Kwa tabu sana hapo mjengoni. Zile ndumu anazovuta ndiyo zinamsaidia vinginevyo angeachia ngazi
Mshahara,posho nene,access ya mikopo bank .unataka nini tenaHivi kuna mtu alishawahi kataa teuzi yeyote? Kama Dr SLAA anaunga juhudi zote kitu gani kwa Mdee wamwache apumue.
Sent from my HUAWEI KII-L22 using JamiiForums mobile app
Hakuna kitu kingine wanaongea tu huku mate yanawatoka!Mshahara,posho nene,access ya mikopo bank .unataka nini tena
Kabisa mkuu, kutoka kuitwa ... Mpaka kuwa COVID-19Kaharibu brand yake kwa tamaa ya pesa
CHADEMA wakifanya makosa ya kuwaondoa hawa wabunge bungeni, watakuwa wamejikaanga kwa mafuta yao wenyewe. Hawa watu wako Bungeni kama wabunge ndiyo lakini kwa upande mwingine, ni kama undercover ya chama wanaoweza ku-capture taarifa za kiintelijenisa za kisiasa kutokea Bungeni na possibly, mahali kwinginekko tofuati na Bungeni, zinazoweza kuwasaidia CHADEMA kuendelea kujiimarisha kisiasa au kama siyo kujiimarisha, basi kuendana sawia na upepo wa kisiasa. Tangu CHADEMA ianzishwe, hawajawahi kukosa wawakilishi Bungeni na hivyo hali ya wao kutokuwa na wawakilishi Bungeni hawaelewi madhara yake yanaweza kuwa ni nini kwa sasa, isipokuwa watakuja kuyaelewa pale tu watakapopelekea wabunge hawa kufukuzwa Bungeni.Halima Mdee nje na ndani ya ukumbi unasutwa. Hata uongee point vipi ni pointless.
Kusutwa na mwanamke mwenzio ni aibu.
Ushauri wangu Jiuzulu Ubunge, kaombe msamaha kwenye chama chako.
Ndugai 2025 ni mstaafu, nani atakukingia.
Mh LUCY MAYENGA Hongera sana kwa kusema ukweli na kuonyesha wazi kuwa kitendo cha Uviko 19 hawana sifa yakumsema Magufuli huku wakijua kuwa ndiye aliyewaingiza.
ASANTE MAYENGA.SPIKA akikuita kama alivyofanya kwa NAPE sema unaumwa