Bungeni Live: June 19, 2012

huyu dawa yake M4C wamtembele pale mtera ili afumbuke ajijue 2015 hana chake hapo ndipo atakapojua kumbe hali imechange ajui hata anachozungumza hv kwanza elimu yake ? Mwenye cv ta huyu bwana atuweke hapa tumjadili
 
Patamu hapo lakini sijawai kusikia kama wanalalamikiwa na MOU na upande wa pili

Ha ha ha ha ha ha! The Aga Khan Foundation affiliated to Islam. Kama taasisi ya kidini niltegemea iwe mfano bora katika jamii. By the way, hivi hii ya kulipa zero tax wana MoU na serikali au? Naomba kufahamishwa.
 
Huyu Lusinde hamna kitu kabisa yaani badala ya kuchangia bajeti yeye anakalia majungu kuhusu upinzani.Ashindwe na alegee kwa jina la Yesu.
 
Nimefurahia mchango wa kafulila kwamba Tanzania ni nchi tajiri lakini na maskini kupindukia,na ya 3 duniani kwa kupokea misaada duniani,nchi zenye machafuko kama somalia,rebanoni,cameroon na ethipia.anaifananisha Tanzania na "mtu mwenye afya anakunywa uji wa mgonjwa" akaenda mbali zaidi kwa kusema makampuni ya tigo,voda na zain yanakwepa kodi akatoa mfano kuwa hivi leo wanywa pombe na wavuta sigara wakiokoka mapato ya serekali itapata wapi mapato?nchi yetu kwa kweli inatia aibu hasa rais anapopita nchi za ulaya kuombaomba huku nchi yake ikiwa na rasili mali za kutosha,akaingia ndani zaidi kwa kusema tatizo la bajeti yetu ni kwamba mawaziri wanatanguliza matumbo yao nakusema kuwa hawa ndio wanao haribu bajeti kwa kutanguliza matumbo ya familia zao kwa kuwa wanaogopa wakitimuliwa na watakua hawajajilimbizikizia mali matokeo yake yanakua mafisadi na kuigalimu nchi.kweli leo kafulila kafunguka.
 
Eti watu wakiokoka wata iombea nchi ipate pesa. Huu ni utoto
 
Analaani Watu wa Kaskazini / Mbeya wameendelea na wanawatukana Wagogo kuwa ni Mbuzi ila anatoka hapo, anajidhihirisha hata mwenyewe ni MBUZI kweli kweli.

Unalaani Makabila yalioendelea yameyaibia Makabila masikini, ila anatoka hapo anaanza kuwatukana Wapinzani utafikiri ni upinzani ndiyo walioiba mali hizo.

Kwa mtindo huu, Wagogo wataendelea sana KUWA OMBA OMBA.
 
Angalau Mh. Meshaki Opulukwa ameanza kuunguruma. Amesumbuka sana na kesi ya uchaguzi huko Meatu, sasa baada ya kushinda kesi anaonekana. Inawezekana hizi kesi za uchaguzi zinamikakati ya kupunguza nguvu ya Upinzani Bungeni.

Na tena huyo mkuu wa wilaya kahamishwa wilaya nyingne bila ya kufukuzwa!.
 
Huyu jamaa uwezo wa akili yake anaujua mwenyewe na magamba wenzie.Kaambiwa achangie bajet yeye kusema upinzani mwanzo mwisho.
 
Mh Lusinde aichana chadema aitetea bajeti ya serikali na kusemma sasa inatakiwa kuelekezwa katika mikoa mingine na kuacha mikoa ambayo ilinufauka enzi za ukoloni.

Mbowe atakiwa kujiuzulu baada ya kuudanganya umma kuwa hatatembelea gari VX V8 La serikali lakini amechukua gari hilo na kutembelea kinyemela pia alisema hatapokea posho za vikao ilihali posho hizo anakula kinyemala mbowe; mh lusinde amesema kabla mboye hajataka mawaziri wajiuzulu anatakiwa kujiuzulu yeye kwanza.Aidha Mbowe afananishwa na Mwisamu asiye safi anayekula Nguruwe

NB

Mh Lusinde kachangia kwa kusema anaunga mkono hoja ya serikali kuendelea kutegemea pombe na sigara katika pato la nchi lakini kama wananchi wataokoka itakuwa vizuri pia kwani watatumia muda wao mwingi katika kuliombea Taifa lipate maendeleo makumbwa

 
ushabiki mbaya sana, naibu spika anajifanya hajasikia pumba za lusinde anamuomba arudie tena alichokisema as if alikuwa anaongea mambo ya maana kumbe ni mipasho tu, Kafulila alivyokuwa anaongea uzalendo naibu spika akamwambia anatoka nje ya mada, lusinde kaongea pumba tupu, naibu spika anakenua meno tu.
 
Back
Top Bottom