1) Unafiki wa mbowe kuchukua posho, na kutumia gari la upinzani wakati alilikataa
2) Bajeti ya upinzani haiakisi ilani ya chama chao, mbona hawaoni elimu bure kwenye bajeti ya chadema?
Lusinde anasema wapinzani mgomeeni Mbowe ajiuzulu maana alikataa gari bungeni akazunguka na kulichukua tena.
Anasema angelikuwa waziri wangelikomaa lakini mbona wanakaa kimya kwa Mbowe?
Anasema Bajeti ya Zitto haina jipya naye anarudia yale yale ya mwaka jana, anasema hata yale yaliyomo kwenye ilani ya CDM hayamo kwenye bajeti kivuli yao.
yan mie mwenyewe namshanga sana amepiga makelele akuna ambacho amechangia kwa ajili ya kusaidia wana nchi wake wa mtera nawapa pole sana watu wa mtera kwa sababu awana jinsi
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.