Bungeni Live: June 19, 2012

Bungeni Live: June 19, 2012

Tuhuma ya mkuu wa wilaya kuhongwa gari yaibukia bungeni.

Mh Meshak Opulukwa atakiwa kupeleka vielelezo kwa spika ili ishu ishughulikiwe rasmi.

sasa maktaba ya ofisi ya spika wa bunge itajaa vielelezo vya maandishi,sijui watavichoma moto au??????bado hoja binafsi hapo,bado ripot za kamat teule,,,bado majina 100 ya zitto,jaman
 
Lusinde ni jamaa yangu but problem yake ni short sighted, illiterate, stupid and uncivilized kabisaa tena anatuangusha ndugu zake kwa ujinga anaoongea. Tukikutana nitamwambia ujomba wetu uwe mwisho tuwasiliane na mama yake tu na kama nae anamuunga mkono huyu **** basi bwana undugu ufe kuliko aibu anayotutia ndugu zake. Hi is arrogant, embecile and uncooth. Next time tutafnya kila linalowezekana kuhakikisha huyu mpumbavu harudi tena bungeni unless hilo Bunge ni la WAPUMBAVU WA MAGAMBA kama alivyo shemeji yake Mwigulu. Unajua nani ana mnanii dada wa mwenzie? Kalagabaho.

hapo mwigulu atakua anamkazia mwenzie dadake(rejea IGUNGA)
 
Naibu spika: Anamtoa mnyika nje ya bunge , kwa utovu wa nidhamu. na anaamuru mnyika atoke nje ya bunge.

Wana ubungo, mmechagua BOMU. AIBU SANA
 
Yaani leo kazi ipp ndani umo eti atplewe hadi nje ya geti!
 
asante kwa updates,coz umeme hakuna jamani...yaan hii nchi shida tupu
 
hivi kwanini mpaka leo wabunge wa tz hawajawi kupigana??? mimi siwezi siasa kabisa am sure leo hii ningekua humo bungeni lazma ningemdumbukizia mtu microphone.
 
​Katika mchango wake katika bajeti ya Serikali, Mhe Mbatia amegusia suala moja ambalo kwakweli lina utata sana.
Taasisi ya Aghakan nchini ina mkataba na serikali wa kutolipa kodi zote (zero tax) nchini kwa sababu kwamba wanatoa huduma za elimu na afya kwa watanzania masikini kwa ghafama nafuu

Lakini cha ajabu ni kwamba hospitali na shule za aghakhan ni most expensive kuliko shule na hospitali nyinginezo. Je kuna maaana gani watu hawa kuendelea kupewa exemption. Naambiwa hata toilet paper inayonunuliwa na aghakhan hailipiwi kodi...achilia mbali magarim vifaaa n.k

Tena wanachofanya, wanawatoza watanzania waswahili na makampuni ya nchini very high premium pale hospitali alafu wana wa subsidize wahindi wa jumuiya ya ISMAILIA ndio wanatibiwa bure pale. Kufanya operation ya appendix pale ni shilingi milioni 2, wakati same operation Tumaini Hospitali ni shilingi 400,000 na St Benard hospital ni shilingi 600,000.

Iweje Agakhan wasilipe kodi ihali Hindumandal ambayo nayo ni ya kidini wanalipa kodi?. Tunaambiwa Regency Hospital ni moja ya walipakodi wakubwa katika TRA kanda ya Ilala.....wanalipa kodi karibia shilingi bilioni 2 kwa mwaka.....sasa aghakhan ambayo ni ghali kuliko regency na ina operations maradufu ya regency si ilipe kodi tu. hii ndio mianya ya upotevu wa fedha za serikali...

Hongera Mhe Mbatia kwa kuliongelea suala hili bungeni

tuone kama watalifanyia kazi,hivi serikali hii huijui???
 
Nyangwine: Pesa za rada ziende hadi zanzibar, mbona zanzibar haimo katika mgao wakati mambo ya rada na ulinzi ni muungano?
 
Back
Top Bottom