YAGHAMBA
JF-Expert Member
- Aug 8, 2012
- 545
- 147
maoni ya kipuuzi sharti yapingwe nguvu zote.Nashukuru kwa wazo lako. "UHURU WA MAONI"
maoni ya kipuuzi sharti yapingwe nguvu zote.Nashukuru kwa wazo lako. "UHURU WA MAONI"
Spika wa Bunge amesema kuwa baadhi ya wabunge wanaandaa hoja ya kuzuia vipindi vya Bunge kuonyeshwa LIVE kwa wananchi!
Ninavyochukulia: Huku ni kulewa Madaraka!...Wanataka wachape usingizi bila kuhojiwa na wapiga kura hawa!
CHANZO: Gazeti la Mtanzania leo 13/08/2012
Ritz kwani kila msema kweli lazima awe CDM?hata CCM wapo wachache.Hao ndio wanaofanya chama kisife hadi leo hii.Hivi na wewe uwa mfuasi wa Chadema?
sasa hivi letu bunge likipata msukumo wa chama fulani, linaingia rasmi kwenye siasa kandamizi na za kibeberu. Bunge letu linawaacha rasmi wananchi na kuingia kwenye udikteta.Kweli tunayo safari ngefu kuelekea kwenye demokrasia ya kweli!
Hivi wanataka kuficha nini hasa!!?
Maandamano yako lini na yanaanzia wapi wajameni!
Wabunge wa CCM wanateswa sana na dhana ya uwajibikaji wa pamoja kama Chama ndio maana ndani ya bunge wengi huwa upande wa serikali hata kama ni kuunga mkono hoja za kipuuzi, lakini wakienda kwenye vikao vyao vya wabunge wa CCM huwa wanacharuka sana na kuambiana ukweli kwani wanaelewa kwamba sehemu kubwa ya umma inaunga mkono hoja wa wapinzani karibia katika kila kitu na hii sio salama kwao kuelekea uchaguzi mkuu ujao (2015); Hivyo moja ya njia za kujaribu kujiokoa na tatizo hili ni kujaribu kujenga hoja ya namna hiyo kama wabunge wa CCM, hoping kwamba itapitishwa kirahisi kwani wabunge wa CCM ndio majority wa "NDIYOOOOO"
Mchambuzi,
Bado hujanibu ni kitu kinachokufanya utuhumu kuwa ni wabunge wa CCM wanataka mijadala isionyeshwe live; kuhusu hawa wabunge wote wanafanana kwa matendo ni makada tu wabunge kama wapo hawazidi 20%
Chama
Gongo la mboto DSM
Sijatuhumu bali nimetoa hisia zangu kama nilivoelezea na binafsi sioni kwanini wabunge wa upinzani waje na hoja kama hiyo wakati ukweli uliopo ni kwamba live coverage ya bunge kwenye TV imekuwa na manufaa kwa Chadema kuliko CCM in terms of upinzani kuikosoa serikali na kufanikiwa ku convince the electorate kwamba udhaifu wa serikali ya CCM unachangia sana ugumu wa watanzania walio wengi;
Lakini unfahamu hisia zako zinaweza zisiwe sahihi; kama unakumbuka zilipotoka za wabunge wala rushwa wengi hisia zenu zililenga ni wabunge wa CCM kumbe hata wa Chadema wamo; labda nikuulize umeshawahi kwenda Dodoma kujumuika na hawa waheshimiwa baada ya shughuli zao za bunge?
Chama
Gongo la mboto DSM
Inawezekana hisia zangu hazipo sahihi na ndio msingi wa mijadala kama hii kueleweshana kwa hoja; vinginevyo nimejitahidi to support my position kwa hoja nilizotoa;
Kuhusu kwenda dodoma, nimewahi mara kadhaa na kushuhudia jinsi gani wabunge wengi wakiwa na mahusiano tofauti kabisa in a non-partisan way tofauti na tunavyowaona kwenye TV; lakini hoja ya msingi hapa sio social life outside shughuli za bunge, tunazungumzia suala linalohusu shughuli zao za bunge zinazofuatiliwa na jicho la jamii LIVE;
Kwasababu bado ni hisia haziwezi kuwa nguvu kwasababu zimesimamiwa na udhanifu kwa mantiki hiyo hakuna haja ya kuwajengea watu hukumu kwa misingi ya udhanifu
Chama
Gongo la mboto DSM