Kalumbesa
JF-Expert Member
- Nov 24, 2010
- 1,013
- 356
Kama Wengekuwa na akili Nilitegemea wangejadili namna ya Kuboresha Muonekano, Pamoja na kununua Generator za vitongoji na TV ili wote ambao wanapata Tabu kuliona Bunge waweze Kuwezeshwa Kuona!! Ila wanajadili namna ya kuzuia!! What a shame is This!!!
Mwizi siku zote huwa hapendi kuonekana!!Ufisadi ni Wizi wa hali ya juu!!Magamba WIZI MTUPU!!