CHASHA FARMING
JF-Expert Member
- Jun 4, 2011
- 7,942
- 9,463
ITAWANUFAISHA NYINYIEMU A.K.A MAGAMBA, make hapo wakina wasila watakuwa wanaingia na mashuka pamoja na zile net za OBAMA ndani ya ukimbi wa Bunge na kuchapa Usingizi bila wasiwasi
hata ujio wa huyo jamaa yenu Lema umechangia sana, I hate Lema kwasababu amesababisha tukose kipindi cha Bunge live...Naona sasa wameanza kulifanyia kazi wazo hili!
Bunge halionyeshwi tena!
Hata mimi ntaandamana, hata wakiweka vifaru.Sijawahi kuandamana miaka ya hivi karibuni lakini yakiitishwa maandamano ya kupinga hii hoja mimi Kimbunga nitashika bango na kuwa mstari wa mbele. Hawa wabunge wetu wamepatwa na nini? Karne hii ya utandawazi, uwazi na uhuru wa kupata habari wao wanataka kutunyima kujua wanatuwakilishaje? Hivi wamesahau kwamba sisi ndio tumewatuma na tunatakiwa tujue wanatuwakulisha vipi? Wanataka kufanya siri?
Ama kweli madaraka kitu kibaya sana. Mtu akiitwa mheshimiwa basi anadhani anaweza kufanya analotaka? Mimi binafsi nataka tuendelee kupata habari za kibunge LIVE bila Chenga. Kama hawatimizi wajibu ipasavyo tuwaone wasitake kujificha.
.......
LEMA NI MWANAZUONI HURU! Wakati ule alipokwenda gerezani kwa hiari watu presha ziliwapanda, na akaja na facts ambazo zilitikisa!Uwiiii Lema umesababisha tusione bunge live
.......
lakini matokeo yake ni ya mwaka 2013, ndo uzuri wa JFMbona Ni habari ya mwaka 2012???????!!