Bunge laazimia Serikali ianze ujenzi wa Bandari Bagamoyo je haya waliyazingatia wabunge?

saidoo25

JF-Expert Member
Jul 4, 2022
602
1,407
BUNGE limepitisha azimio la kuitaka Serikali iharakishe utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bandarii ya Bagamoyo.

Azimio la Bunge hili la Bunge kuhusu Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo limeazimia na Bunge lakini mradi haujawahi kuwepo.

Azimio la Bunge kuagiza mradi huu utekelezwe haraka lilikuwa linatoka wapi wakati mradi huo haupo kwenye mipango ya Serikali na haujawahi kutengewa fedha na Bunge ndio maana hata ukisoma vitabu vya Serikali haumo.

Sasa Bunge linawezaje kuiagiza Serikali katika jambo ambalo halina uchambuzi wa kina lakini azimio hili linatolewa huku Bunge halijui za gharama ya mradi, uwezo wa nchi kugharamia mradi huo, hatua ya utekelezaji wa miradi mingine ya kimkakati, uwezo wa kukopesheka na vigezo na sababu zingine za kiuchumi.

Hivi wabunge wakati mnalipitisha azimio hili kuhusu Bandari ya Bagamoyo mliyazingatia hayo au mliazimia nini.

GCBJrP3WyAzwLGAL.jpg
 
BUNGE limepitisha azimio la kuitaka Serikali iharakishe utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bandarii ya Bagamoyo...
Kina Babu Tale waliyazingatia kweli haya kabla hawajasema NDIOOO mbona huu mradi kama una mashaka makubwa ila wabunge Mungu anawaona mnavyokuwa mnapitisha viti.

Serikali ilishindwa kuendelea na huu mradi baada ya kelele kuwa nyingi kwa wananchi leo Bunge limeingia mtego wa Serikali ili ionekane ni maagizo ya Bunge
 
BUNGE limepitisha azimio la kuitaka Serikali iharakishe utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bandarii ya Bagamoyo

Azimio la Bunge hili la Bunge kuhusu Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo limeazimia na Bunge lakini mradi haujawahi kuwepo,.

Azimio la Bunge kuagiza mradi huu utekelezwe haraka lilikuwa linatoka wapi wakati mradi huo haupo kwenye mipango ya Serikali na haujawahi kutengewa fedha na Bunge ndio maana hata ukisoma vitabu vya Serikali haumo.

Sasa Bunge linawezaje kuiagiza Serikali katika jambo ambalo halina uchambuzi wa kina lakini azimio hili linatolewa huku Bunge halijui za gharama ya mradi, uwezo wa nchi kugharamia mradi huo, hatua ya utekelezaji wa miradi mingine ya kimkakati, uwezo wa kukopesheka na vigezo na sababu zingine za kiuchumi.

Hivi wabunge wakati mnalipitisha azimio hili kuhusu Bandari ya Bagamoyo mliyazingatia hayo au mliazimia nini.
Mnapiga kelele wakati wataalaam wapi Tatari bagamoyo zaidi ya miezi 3 sasa
 
Bribery is NO longer a question of WHY, but how MUCH, tuendelee kunywa mchuzi mifupa tutakutana nayo chini ya bakuli
 
Watanzania mnapendà saana kulaumu ,kwani kuna shida gani kujenga bandari Bagamoyo?
 
BUNGE limepitisha azimio la kuitaka Serikali iharakishe utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bandarii ya Bagamoyo

Azimio la Bunge hili la Bunge kuhusu Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo limeazimia na Bunge lakini mradi haujawahi kuwepo,.

Azimio la Bunge kuagiza mradi huu utekelezwe haraka lilikuwa linatoka wapi wakati mradi huo haupo kwenye mipango ya Serikali na haujawahi kutengewa fedha na Bunge ndio maana hata ukisoma vitabu vya Serikali haumo.

Sasa Bunge linawezaje kuiagiza Serikali katika jambo ambalo halina uchambuzi wa kina lakini azimio hili linatolewa huku Bunge halijui za gharama ya mradi, uwezo wa nchi kugharamia mradi huo, hatua ya utekelezaji wa miradi mingine ya kimkakati, uwezo wa kukopesheka na vigezo na sababu zingine za kiuchumi.

Hivi wabunge wakati mnalipitisha azimio hili kuhusu Bandari ya Bagamoyo mliyazingatia hayo au mliazimia nini.
Bune? Au kikao Cha CCM?
 
Watanzania mnapendà saana kulaumu ,kwani kuna shida gani kujenga bandari Bagamoyo?
Na wewe pia unayo shida kichwani...hoja siyo kujengwa kwa Bandari bali ni bajeti ipi imepitishwa kwa ajili ya ujenzi? Ni wapi uchambuzi yakinifu imefanyika kuhusiana na Bandari hiyo? Sasa Bunge linapitisha kitu hewa ambayo Serikali haijawahi kuileta popote mezani kwao kuwa wanataka kuijenga Bandari yenye Ukubwa hii kwa gharama kiasi hiki!!

Vitu vingine vinashangaza na kuuzunisha sana.
 
Sasa so ndio serikali inatakiwa kuanzisha mchakato kwani umeambiwa ujenzi utaanza bila kupitia hatua zote hizo
 
Hao hao wabunge wanaopiga makofi na kucheka hata wanapoongea ya msingi au ya kuhuzunisha?

Mbunge anasema itengwe siku ya viboko nao wanacheka
Huwa unajiuliza hivi hawa kweli wanajielewa au wanaowaongoza ndio mazuzu?
 
Back
Top Bottom