saidoo25
JF-Expert Member
- Jul 4, 2022
- 602
- 1,407
BUNGE limepitisha azimio la kuitaka Serikali iharakishe utekelezaji wa mradi wa ujenzi wa Bandarii ya Bagamoyo.
Azimio la Bunge hili la Bunge kuhusu Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo limeazimia na Bunge lakini mradi haujawahi kuwepo.
Azimio la Bunge kuagiza mradi huu utekelezwe haraka lilikuwa linatoka wapi wakati mradi huo haupo kwenye mipango ya Serikali na haujawahi kutengewa fedha na Bunge ndio maana hata ukisoma vitabu vya Serikali haumo.
Sasa Bunge linawezaje kuiagiza Serikali katika jambo ambalo halina uchambuzi wa kina lakini azimio hili linatolewa huku Bunge halijui za gharama ya mradi, uwezo wa nchi kugharamia mradi huo, hatua ya utekelezaji wa miradi mingine ya kimkakati, uwezo wa kukopesheka na vigezo na sababu zingine za kiuchumi.
Hivi wabunge wakati mnalipitisha azimio hili kuhusu Bandari ya Bagamoyo mliyazingatia hayo au mliazimia nini.
Azimio la Bunge hili la Bunge kuhusu Mradi wa ujenzi wa Bandari ya Bagamoyo limeazimia na Bunge lakini mradi haujawahi kuwepo.
Azimio la Bunge kuagiza mradi huu utekelezwe haraka lilikuwa linatoka wapi wakati mradi huo haupo kwenye mipango ya Serikali na haujawahi kutengewa fedha na Bunge ndio maana hata ukisoma vitabu vya Serikali haumo.
Sasa Bunge linawezaje kuiagiza Serikali katika jambo ambalo halina uchambuzi wa kina lakini azimio hili linatolewa huku Bunge halijui za gharama ya mradi, uwezo wa nchi kugharamia mradi huo, hatua ya utekelezaji wa miradi mingine ya kimkakati, uwezo wa kukopesheka na vigezo na sababu zingine za kiuchumi.
Hivi wabunge wakati mnalipitisha azimio hili kuhusu Bandari ya Bagamoyo mliyazingatia hayo au mliazimia nini.