Siku hizi kunajengwa stendi mpya mbona picha hizi hapa na soko utaratibu unafanywa kuhamisha watu kutoka humo na lingine linajengwaMkuu mimi kwetu kiasili ni Bukoba, lakini ukweli ni kwamba huwezi linganisha moshi na Bukoba maana Bukoba kumedorora wahaya hatuna tabia ya kuendeleza mji wetu.
Kuanzia stand, soko kuu hata barabara za bukoba rami kama vumbi tofauti na moshi.
Kila project inayoletwa kuendeleza bukoba inakumbana na majungu kuanzia project ya kujenga upya soko na kuhamisha stand kuu basi mji umebaki upo upo tu kiasi kwamba watu wakifika bukoba uwa wanashangaa hivi wahaya tunavyojitapa kumbe kwetu pako vile...
Bukoba airport mbona nzr tu ndo INA terminal bora kuliko zote tzKwa hzi picha Game is over..wahaya wote twendeni tukalae
Kilimanjaro international airport
View attachment 578582
NSSF commercial building
View attachment 578585
Kwa mijengo its over bk iko juu hiyo ni ihungo estate na ujenzi unaendeleaKwa hzi picha Game is over..wahaya wote twendeni tukalae
Kilimanjaro international airport
View attachment 578582
NSSF commercial building
View attachment 578585
Hujui usemalo na bukoba unaisikia tu redioni .nilishasema siku nyingi wachaga siku hizi MNA majivuno mengi sana na matusi mengi bukoba ingekuwa haina kitu ingehitaji meli kubwa zenye uwezo wa kubeba watu 3000 zote wa kuelekea huko INA maana wanaenda kufanya nini wakati moshi mabasi hata watu miatano hawafiki kwa siku ikizingatiwa na bukoba mabasi yapoBukoba hakuna kitu....senene tu wamejaa na watu kujichekea peke yao mitaani.
Unaivyosema moshi kama vile ulaya wakati inagalagazwa na kahama tu pamekanda sana bukoba mbona inachangamka mno ukiongeza na sifa za wahaya.Acheni upumbavu...bukoba uchafu gani kwa moshi...sema wilaya yoyote vijijini kwa moshi
carnte himself
Nani akubali hebu nikupe mambo ya bukoba tuanze na bandari ya bukoba custom iliyopo bunena kimsingi bukoba INA bandari mbili kubwa ya custum na kemondo hii ni ya bukobaAsiyekubali kushindwa sio mshindani kubali tu chalii yangu ardhi haiwezi badilika.
Mkuu tupe na za nyakato sec nasikia wapo wanaendelea na ujenziKwa mijengo its over bk iko juu hiyo ni ihungo estate na ujenzi unaendelea![]()
![]()
![]()
![]()
moshi mpo na bado nawakusanyia picha za bk![]()