Kwakweli BK mnajitahidi majengo no mazuri ila Ms kuilinganisha na BK ni mbingu na ardhi mji wa Moshi umeongezwa eneo kutoka km 58 mpaka 129km hivyo imeizidi BK karibu Mara mbili, pili Ms kuna vyuo vikuu zaidi ya 4 ktk mji kama huo huwezilinganisha na BK ambao hawana hata kimoja ,Ms kuna hospitali kubwa na chuo cha police hayo tuu yanatosha kuonyesha mji ulivyochangamka ulilinganisha na BK kuhusu mahoteli Ms inaizidi kwa mbali sana BK ,na kuhusu majengo kuna jamaa kasema Ms jengo no NSSF tuhuyo haijui Ms vizuri Kuna Kibo tower yenye ghorofa 10 ,kuna arshoo tower yenye ghorofa 13 kuna majengo mengi ya ghorofa 6,7,8,5 na kuna night club nyingi za ukweli sasa sijui unapata wapi haki ya kulinganisha Ms na BK nafikiri BK no ya kuilinganisha na Singida au Tabora