Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
MTU unapost uwanja wa ndege BK alafu unataka na Ms wapost uwanja wa KIA ulinganishe na wa BK ? KIA ambao una direct flight from Europe ,Turky ,Catary and many more .sasa nyie wahaya nitajie viwanda 5 tuu binavyopatikana mkoa BK alafu ulinganishe na Ms .jua Ms saizi yake ni Mbeya ,Tanga na nyie saizi yenu ni Musoma ,Singida na Tabora
 
Kwakweli BK mnajitahidi majengo no mazuri ila Ms kuilinganisha na BK ni mbingu na ardhi mji wa Moshi umeongezwa eneo kutoka km 58 mpaka 129km hivyo imeizidi BK karibu Mara mbili, pili Ms kuna vyuo vikuu zaidi ya 4 ktk mji kama huo huwezilinganisha na BK ambao hawana hata kimoja ,Ms kuna hospitali kubwa na chuo cha police hayo tuu yanatosha kuonyesha mji ulivyochangamka ulilinganisha na BK kuhusu mahoteli Ms inaizidi kwa mbali sana BK ,na kuhusu majengo kuna jamaa kasema Ms jengo no NSSF tuhuyo haijui Ms vizuri Kuna Kibo tower yenye ghorofa 10 ,kuna arshoo tower yenye ghorofa 13 kuna majengo mengi ya ghorofa 6,7,8,5 na kuna night club nyingi za ukweli sasa sijui unapata wapi haki ya kulinganisha Ms na BK nafikiri BK no ya kuilinganisha na Singida au Tabora
Aliyekwambia kwambia bukoba hakuna vyuo nani.bkb INA vyuo vinne carumuco, jocuco, karuko,na open .mji wa bukoba una hospital tatu kubwa ya mkoa,ya wilaya na moja ya binafsi,moshi labda wakiongeza vijiji vinavyoibana moshi ambavyo hakuna mji wakati bk hilo eneo limejengwa lote .acha kusema tu weka picha tuyaone hayo maghorofa unayoyasema
 
MTU unapost uwanja wa ndege BK alafu unataka na Ms wapost uwanja wa KIA ulinganishe na wa BK ? KIA ambao una direct flight from Europe ,Turky ,Catary and many more .sasa nyie wahaya nitajie viwanda 5 tuu binavyopatikana mkoa BK alafu ulinganishe na Ms .jua Ms saizi yake ni Mbeya ,Tanga na nyie saizi yenu ni Musoma ,Singida na Tabora
Tukileta mkoa mzima na mambo yaliyomo mtashangaa, mbona tunalinganisha miji ya moshi na bukoba sio hai,halafu kwenye mambo muhimu bk kuna uwanja wa mpira mkubwa na wa kisasa,bk ndo bandari ya pili ktk ziwa Victoria baada ya mwanza,viwanda vipo kama cha samaki Vic fish na Victoria fish,tanica coffee,yetu chai,kiwanda cha juisi mayawa,viwanda vya maji vinne bunena water,asilia,tanica water,na kabanga water,kagera sugar,na Victoria chalks nk
 
MTU unapost uwanja wa ndege BK alafu unataka na Ms wapost uwanja wa KIA ulinganishe na wa BK ? KIA ambao una direct flight from Europe ,Turky ,Catary and many more .sasa nyie wahaya nitajie viwanda 5 tuu binavyopatikana mkoa BK alafu ulinganishe na Ms .jua Ms saizi yake ni Mbeya ,Tanga na nyie saizi yenu ni Musoma ,Singida na Tabora
a242ac676c9b4d05e85aa6fa94370be7.jpg
 
Wakiongeza jiji Tanzania ni kati ya manispaa 4 zitaingia Moshi, Iringa , Dodoma, Morogoro..ni mtazamo wangu tuu..
 
TMPDOODLE1514154801211.jpg
Tafuta jengo Bk lenye hadhi ya hilo pharmacy ipo kcmc. Nitaomba na jengo la TRA Bk tulinganishe na Moshi tuje na picha za barabara zote za Bk
 
Na kama hutojali naomba picha za uwanja wa ndege wa bk ukiwa na muonekano wa uwanja kama hapa KIA
20171103_161209.jpg
20171103_161203.jpg
 
Mbege imekulewesha wewe
wew rubisi ndio imekulewsha
kwan n uongo kiwa wachaga miji ming wamejeng wao?
mfano mwanza migorofa asilimia kubwa yao
mihotel pale mwanza mikubwa mfano hotel ya kifahari ya gold crest n ya mchaga
gorofa shaz pale zao
ukija bukba mabasi mengi yaendayo bkb ya wachga mfano prince muro,kdia one,Osaka nk
ukija arusha mi hotel ya kifahar asilimia kbwa ya wachaga mfano
ngurdoto hotel,impala hotel,Maura spring hotel,leopard hotel, hizo n baadh ya hotel za nyota tano
nikija dar sielezei we mwenyewe unaona kipind hiki cha ckukuu wachaga wameenda kwao dar imedorora kibiashara hata folen hakuma hii inaonyesha wachaga ndio wameishika
 
tena sio marangu yote pale mamba kisambo tu inatosha

Kweli kabisa mtani yaani huyu jamaa ameamua tu kujitoa ufahamu wake.......

Mimi ni mpare lakini moyo wangu uko Moshi......

Kuna sehemu panaitwa kituo cha afya....lazima siku moja nifanye maamuzi magumu ya kuhamia hapo moja kwa moja.......
 
Hako ka jengo hili linawatosha tu
eb69a991157efac5993cd00a588a8846.jpg
kumbuka hapo hilo jengo alilo post lipo rombo tena eneo LA mamsera na sio moshi
kama rombo tu: IPO hivyo,tukiweka picha za moshi c mtazimia? ndoo maana tumeamua kuwasitir tukianza kuweka za moshi mtaukimbia huu uzi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom