Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Hii inapatikana bukoba maeneo gani nije aisee Hahahahaa
05ec5e097f434c4538a05c0977409e92.jpg
 
Hahahahaa huyu jamaa ni kilaza wa kutupwa tumuhurumie tu
Kubalini tuu mshapigwa 3 bilaaa kwani dar hakuna wahaya?? watu wanatoka nje ya mkoa kutafuta alafu maendeleo yanarudi home huwezi fananisha moshi na bukoba amabayo hata lami ni tatizo we leo fika moshi nenda kibosho lami tupu uru lami tupu huko machame lami tupu mwika marangu lami tuu majengo yanashushwaje huko hahaha dar tumekuja kutafuta moshi kilimanjaro home sweet home...
ndio maana mnaambiwa kabla hujaropoka hapa nenda kwanza moshi sio unaletewa hata picha unaanza lia lia ooh za nai lol mbona za australia tunaeza leta na usikatae??
 
Hii ipo maeneo gani nije kula bata hahaha
0f41e22deb58be02f23d082474051847.jpg
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
 
Mimi sio mwenyeji wa mikoa yote miwili, ila nimeishi katika miji yote miwili kwa muda tu wa kutosha mjini na vijijini. Moshi ni mji mzuri na mkubwa kulinganisha na Bukoba. Hata idadi ya watu Bukoba inazidiwa na Moshi na sababu kubwa ni upande wa usafiri, hakuna ruti zozote za daladala katika mji wa Bukoba. Kila unapokwenda lazima upande Bodaboda labda kama unaenda wilayani.
Bukoba mzunguko wa hela ni mdogo sana kulinganisha na Moshi.
Kwa upande wa miundombinu Moshi wapo juu sana.
Kwa mandhari, Bukoba yaweza kuvutia kwa sababu ya Ziwa na vilima kuwa vingi.
Kuna mdau alielezea kuhusu majengo mazuri yapo zaidi katika wilaya za Kagera kuliko Bukoba mjini. Kama huamini hivyo nenda Karagwe(Kayanga mji) na eneo la Bunazi (Missenyi) watu wanapajenga sana.

Kwa mpangilio wa mji bado Moshi inaizidi Bukoba.

Moshi ni mji mdogo kwa eneo lakini ni mzuri na msafi.
Hata kwa idadi ya vyuo vikuu vyenye kuheshimika vipo Moshi;KCMCo,Mwenge,Ushirika nk.
Uchumi wa Manispaa ya Moshi unatokana na biashara, viwanda na utalii. Manispaa ina viwanda 58 (Vikubwa na vidogo) vinavyoshughulika na vinywaji baridi, ukoboaji wa kahawa, uzalishaji wa viberiti, vinywaji vikali. Kuna maduka ya jumla 93 maduka rejareja 2276, SACCOS 58, masoko 7, supermarket 58 mabenki ya biashara 15, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni 7, maduka ya madawa 126, maduka ya Shajala (stationery) 112, mahoteli 33 na nyumba za kulala wageni 118.

Wakazi wengi wa Manispaa wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo, kilimo na ufugaji maeneo ya pembezoni mwa mji. Wachache wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za serikali na za binafsi. Kila mkazi anakisiwa kuwa na pato la wastani wa Dola za Kimarekeni 950 kwa mwaka.

  • Mwelekeo wa Halmashauri
Katika miaka kumi (10) ijayo kuanzia mwaka 2015 -2025 Manispaa ya Moshi iwe jiji litakaloendeshwa kwa misingi ya utawala bora.
##
KILIMANJARO REGION.
The region covers an area of 13,209 sq. km. or 1.4% of the area of the entire Tanzania Mainland. Administratively, the Region is divided into six districts namely Moshi, Rombo, Mwanga, Same, Hai, and Siha with seven Local Government Authorities. The Region has a total of 30 divisions, 153 wards and 472 villages.


Total population (2002 Census) 1,376,702

Population Density (2002 Census) 104 per sq. km.

Population growth rate (2002 Census) 1.6 %

Urban population (2002 Census) 21 %

Rural population (2002 Census) 79 %

Total population (Est. 2010) 1,635,870

Males (Est. 2010) 797,764

Females (Est. 2010) 838,106

Regional GDP (Yr 2010) Tshs. 1,438,637 mill

Per Capita Income (Yr 2010) Tshs. 945,437/=

Education: Literacy rate: 95% (2010). There are 933 primary schools (887 Government, 46 Private); 313 secondary schools (215 Government, 98 Private), seven Teachers Training Colleges (three Government, four Private), 77 Vocational Training Centres (six Government, 71 Private) and five University Colleges (one public, four private).



Health Facilities: 19 Hospitals including two referral hospitals KCMC and Kibong’oto Hospitals; (six Government, 13 Private), 36 Health Centres (22 Government, 14 Private) and 341 Dispensaries (152 Government , 189 Private).


Water: Population served with clean and safe water is 72% (2010)


Roads: The region has a good road network linking it with its neighbouring regions of Tanga and Arusha and to the Republic of Kenya which gives it an access within and outside the country. In total, it has 3646.07 kilometres of roads out of which 443.8 kilometres are tarmac.
 
Bukoba imeiacha mbali Moshi kwenye kipi kuwa specifically kwamba kwa namna nilivyokaa au kutembea Bukoba na Moshi, Moshi au Bukoba imeiacha mbali mwenzake katika abcd hapo unaonekana unachoongea kina mantiki
Kwenye kila kitu, mpaka akili na ndio maana Maxence Melo Mubyazi ni Muhaya kawawekea Jamii Forum platform hili muongee kila kitu hata hivi vya uwongo
 
Unafikiri ni Melo peke yake? Pole

JamiiForums is a Tanzania-based social networking website in East Africa founded by Maxence Melo and Mike Mushi in 2006
JamiiForums - Wikipedia
Kwenye kila kitu, mpaka akili na ndio maana Maxence Melo Mubyazi ni Muhaya kawawekea Jamii Forum platform hili muongee kila kitu hata hivi vya uwongo
 
mimi si mwenyeji wa bukoba wala moshi mjini lakini mie naona kigezo kizuri kwenye hii league ni takwimu za
(1)Uchumi mf. per capital income.
(2)Ubora wa huduma za jamii (social service) hapa linganisheni elimu inayotoelewa kwa viwango mbali mbali na ubora wake,Afya ya msingi mortality rate,ubora wa huduma za afya mf. idadi ya zahanati,vituo vya afya,hispital na huduma za afya in advance mf referal hospital na ubora wake wa huduma.Huduma za maji safi na salama.miundombinu,utalii n.k.Na takwimu ziwe certified sio za kuokota okota.
Ni bora league ihusike na mkoa kwa mkoa na sio MJI KWA MJI.Maana yangu ni kwamba mji unajengwa na watu wengi kwa ushirikiano na serikali.But maisha ya vijijini yana reflect viwango vya maendeleo ya watu.
LEO HII kwa mfano ukienda Ethiopia utakuta ADIS ABABA Imejengwa sana FLY OVER za barabara nyingi za kutosha lakini ukienda vijijini maisha wahabesh utachoka ni ya ajabu (ni mfano tu) Soma usitukane hili ni jukwaa huru.
Si sahihi kutumia picha za majengo kama kigezo ni rahisi kuweka picha za sehemu nyingine kwa lengo la kujipatia alama.
 
Huyo aliyeweka data za Moshi amejitahidi mwingine tena wa Bukoba abandike za kagera then ma judge wataamua utamu.
 
Uchumi wa Manispaa ya Moshi unatokana na biashara, viwanda na utalii. Manispaa ina viwanda 58 (Vikubwa na vidogo) vinavyoshughulika na vinywaji baridi, ukoboaji wa kahawa, uzalishaji wa viberiti, vinywaji vikali. Kuna maduka ya jumla 93 maduka rejareja 2276, SACCOS 58, masoko 7, supermarket 58 mabenki ya biashara 15, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni 7, maduka ya madawa 126, maduka ya Shajala (stationery) 112, mahoteli 33 na nyumba za kulala wageni 118.

Wakazi wengi wa Manispaa wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo, kilimo na ufugaji maeneo ya pembezoni mwa mji. Wachache wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za serikali na za binafsi. Kila mkazi anakisiwa kuwa na pato la wastani wa Dola za Kimarekeni 950 kwa mwaka.

  • Mwelekeo wa Halmashauri
Katika miaka kumi (10) ijayo kuanzia mwaka 2015 -2025 Manispaa ya Moshi iwe jiji litakaloendeshwa kwa misingi ya utawala bora.
##
KILIMANJARO REGION.
The region covers an area of 13,209 sq. km. or 1.4% of the area of the entire Tanzania Mainland. Administratively, the Region is divided into six districts namely Moshi, Rombo, Mwanga, Same, Hai, and Siha with seven Local Government Authorities. The Region has a total of 30 divisions, 153 wards and 472 villages.


Total population (2002 Census) 1,376,702

Population Density (2002 Census) 104 per sq. km.

Population growth rate (2002 Census) 1.6 %

Urban population (2002 Census) 21 %

Rural population (2002 Census) 79 %

Total population (Est. 2010) 1,635,870

Males (Est. 2010) 797,764

Females (Est. 2010) 838,106

Regional GDP (Yr 2010) Tshs. 1,438,637 mill

Per Capita Income (Yr 2010) Tshs. 945,437/=

Education: Literacy rate: 95% (2010). There are 933 primary schools (887 Government, 46 Private); 313 secondary schools (215 Government, 98 Private), seven Teachers Training Colleges (three Government, four Private), 77 Vocational Training Centres (six Government, 71 Private) and five University Colleges (one public, four private).



Health Facilities: 19 Hospitals including two referral hospitals KCMC and Kibong’oto Hospitals; (six Government, 13 Private), 36 Health Centres (22 Government, 14 Private) and 341 Dispensaries (152 Government , 189 Private).


Water: Population served with clean and safe water is 72% (2010)


Roads: The region has a good road network linking it with its neighbouring regions of Tanga and Arusha and to the Republic of Kenya which gives it an access within and outside the country. In total, it has 3646.07 kilometres of roads out of which 443.8 kilometres are tarmac.
Well mdau yaani hawa jamaa wanaifananisha Moshi na Bukoba ? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni
 
Yaani nimekuchapa bakora za vijijini mpaka umepabadili bukoba mjini saivi unapaita vijijini.???

Moshi ni jiji la kitalii unalinganisha na mji Wa kilimo na ufugaji Kwanza bukoba inachangia kipi kikuu katika pato la taifa? Bukoba ni ya ngapi kwa ukusanyaji wa mapato? Development index ya bukoba ipo vipi ukilinganisha na Moshi? Sababu sio tunabishana tu kizumbukuku wakati ukweli wote upo plain na nikikuletea hapa utaaibika na ngoja nzileta statistics zote
Ngoja waje waseme hapo ni miam
Kaka picha ya mwisho hiyo ni Hot spring chemka sio...



Catholic diocese of Moshi Mwenge retreat center
2016moshitodaymoshicathedral4.png
BVlFWpxvCvqVtPmFpi8rlWCj3TwqHkdKr7A0PJZt0k9VxSb-KXi9KlbqVHJBH_w1vjaAmCmo

Kumbu kumbu ya vita vya kagera
2abd25c8bf36ad02b3e457353be55cc3.jpg
mahandaki yaliyotumiwa
19274a3ce7dd93748a0047b8298b7549.jpg
Mnara Wa ukumbusho
b2c253c5928b3732b9860c31eac6916e.jpg
kanisa lililolipuliwa na IDD amin imebaki kivutio
a2f3f01de2edec2930cad62a219e0c1a.jpg
282521f29da32c2ace2ad8ccb279637a.jpg
2ae932e912b2b52b05b9ed05879906c9.jpg
daraja la MTO kagera
76ab6f97a970d5cb041e21e5beec5781.jpg
sanamu ya mayunga
c5af43c55d5547a01c96494ee92f5f8b.jpg
uwanja Wa vita
73d43b9906dbe0790f567c0a4b5229ae.jpg
daraja la MTO kagera daraja la NNE tz


Well mdau yaani hawa jamaa wanaifananisha Moshi na Bukoba ? Ama kweli ukistaajabu ya Musa utayaona ya Firaoni
 
Hapa umefunga mjadala rasmi tena kwa kiheshima tunataka na Bukoba walete geographical data zao tufunge mjadala.
Uchumi wa Manispaa ya Moshi unatokana na biashara, viwanda na utalii. Manispaa ina viwanda 58 (Vikubwa na vidogo) vinavyoshughulika na vinywaji baridi, ukoboaji wa kahawa, uzalishaji wa viberiti, vinywaji vikali. Kuna maduka ya jumla 93 maduka rejareja 2276, SACCOS 58, masoko 7, supermarket 58 mabenki ya biashara 15, maduka ya kubadilisha fedha za kigeni 7, maduka ya madawa 126, maduka ya Shajala (stationery) 112, mahoteli 33 na nyumba za kulala wageni 118.

Wakazi wengi wa Manispaa wanajishughulisha na biashara ndogo ndogo, kilimo na ufugaji maeneo ya pembezoni mwa mji. Wachache wameajiriwa katika Taasisi mbalimbali za serikali na za binafsi. Kila mkazi anakisiwa kuwa na pato la wastani wa Dola za Kimarekeni 950 kwa mwaka.

  • Mwelekeo wa Halmashauri
Katika miaka kumi (10) ijayo kuanzia mwaka 2015 -2025 Manispaa ya Moshi iwe jiji litakaloendeshwa kwa misingi ya utawala bora.
##
KILIMANJARO REGION.
The region covers an area of 13,209 sq. km. or 1.4% of the area of the entire Tanzania Mainland. Administratively, the Region is divided into six districts namely Moshi, Rombo, Mwanga, Same, Hai, and Siha with seven Local Government Authorities. The Region has a total of 30 divisions, 153 wards and 472 villages.


Total population (2002 Census) 1,376,702

Population Density (2002 Census) 104 per sq. km.

Population growth rate (2002 Census) 1.6 %

Urban population (2002 Census) 21 %

Rural population (2002 Census) 79 %

Total population (Est. 2010) 1,635,870

Males (Est. 2010) 797,764

Females (Est. 2010) 838,106

Regional GDP (Yr 2010) Tshs. 1,438,637 mill

Per Capita Income (Yr 2010) Tshs. 945,437/=

Education: Literacy rate: 95% (2010). There are 933 primary schools (887 Government, 46 Private); 313 secondary schools (215 Government, 98 Private), seven Teachers Training Colleges (three Government, four Private), 77 Vocational Training Centres (six Government, 71 Private) and five University Colleges (one public, four private).



Health Facilities: 19 Hospitals including two referral hospitals KCMC and Kibong’oto Hospitals; (six Government, 13 Private), 36 Health Centres (22 Government, 14 Private) and 341 Dispensaries (152 Government , 189 Private).


Water: Population served with clean and safe water is 72% (2010)


Roads: The region has a good road network linking it with its neighbouring regions of Tanga and Arusha and to the Republic of Kenya which gives it an access within and outside the country. In total, it has 3646.07 kilometres of roads out of which 443.8 kilometres are tarmac.
 
Hii Lodge ipo o Mwanza Nyegezi
8e9c9980a294d7739aa4a75cc0293220.jpg

Lini umeihamishia bukoba?? Hahahahaa
IPO muleba barabara ya biharamulo unakaribisha uje uione unapinga bila kufanya utafiti nyegezi wapi? Unafikiri bukoba ni mji mdogo et kwanza uwezi ona umaarufu ulio nao
 
Hizo pictures 90% sio bukoba hapo zipo za Arusha hiyo New Arusha hotel lini imehamishiwa bukoba na mBasha building lini limehamia bukoba??? Hahahahaa pole lakini ndio hivyo aliekuacha kakuacha tu.
Mm baasha building iko wapi kati ya hizi picha bukoba ni level nyingine cheki hii tena
63137d3109df6477052d0556ca07ffee.jpg
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom