we uwezo wako wa kufikiri ni mdogo sana wenzio wanajadili maendeleo ya miji na miundombinu wewe unatuletea hali ya joto,kwani joto ndo linazuia vipi kujengeka kwa mji?? chukulia mfano hali ya joto ya pwani n.kYaani moshi hamna kitu zaidi ya jengo moja tu hilo la blue, alafu kusema vijijini moshi pako vizuri mbona bk safi tu. Anyway wachagga acheni sifa za kijinga mdogo wangu yuko moshi analia na joto kali huko![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
