Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Kagera Region is one of Tanzania's 30 administrative regions. The region is located in the northwestern corner of Tanzania on the western shore of Lake Victoria. The region neighbors Uganda, Rwanda, and Burundi and lies across the lake from Kenya. The region was known as the West Lake Region before June 1979. The regional capital is the city ofBukoba. According to the 2012 national census, the region had a population of 2,458,023, which was lower than the pre-census projection of 2,763,329.[1]😛age 2 For 2002-2012, the region's 3.2 percent average annual population growth rate was tied for the third highest in the country.[1]😛age 4 It was also the ninth most densely populated region with 97 people per square kilometer.[1]😛age 6

On September 10th 2016, the region was struck by an earthquake measuring 5.7 on the Richter scale. It was the biggest earthquake to have been recorded in Tanzania
 
Duh!!,kumbe hii ligi bado inaendelea?.... thought it was over after bukoba kicked moshi hands down during the first round....another popcorn plz.
 
Bukoba stand up ...karibuni sana jiji tarajiwa Isingiro ...Kyerwa ...
 
Bukoba patamu sana ....hakuna sehemu kuna kuku wa kuchoma, ulimi wa kuchoma mtamu kama pale Bukoba Club huku unakula upepo wa ziwani....ukienda Yasira pale unatuma mhudumu kwa wavuvi wanakuletea samaki hai katoka kuvuliwa then ndio unachomewa (sijui bado ipo hii pale) ....hatariii ...Linas Club hatarii hatarii ....
 
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Eneo Moshi
Majengo Moshi
Watu Moshi
Pesa Moshi
Mji Moshi
Location Moshi
Unataka facts gani tena hata mbege ipo moshi
 
maendeleo cyo kuwa na majengo marefu,wakazi wengi wa mkoa kagera wanaishi vijijini na hii kutokana na kuwepo na huduma zote muhimu za kijamii,mkoa umejariwa ardhi yenye rutuba kuna haja gani ya kwenda kujazana mjini
 
maendeleo cyo kuwa na majengo marefu,wakazi wengi wa mkoa kagera wanaishi vijijini na hii kutokana na kuwepo na huduma zote muhimu za kijamii,mkoa umejariwa ardhi yenye rutuba kuna haja gani ya kwenda kujazana mjini
Wewe toa ulanzi hapa kwani moshi umeambiwa wanaishi mjini na kwa taarifa nikupe kama ulikuwa hujui moshi mjini pilika pilika mwisho jumamosi jumapili karibu robo tatu ya wakazi wa mijini utawakuta wapo milimani kwenye makasri yao kujumuika na ndugu na jamaa siku ya jumapili jumatatu wanaamsha majeshi kutafuta chapaa upoo.
 
sasa we kunguru muleba ni bukoba? hebu acha umavi tunazungumzia moshi vs bukoba
Acha upimbi wewe. Mbona kule moshi mmeolozesha takataka kibao ambazo azipo moshi au wewe ndio wale wale
Kilimanjaro=Moshi
Kagera=Bukoba

Umetoka povu watu wengi wameolozesha izo wilaya kama mkoa
 
Wewe toa ulanzi hapa kwani moshi umeambiwa wanaishi mjini na kwa taarifa nikupe kama ulikuwa hujui moshi mjini pilika pilika mwisho jumamosi jumapili karibu robo tatu ya wakazi wa mijini utawakuta wapo milimani kwenye makasri yao kujumuika na ndugu na jamaa siku ya jumapili jumatatu wanaamsha majeshi kutafuta chapaa upoo.
huna hoja yenye mashiko punguza viroba na ugoro mimi ni intellectual bwana i know what i mean
 
Kilimanjaro ni mkoa wenye mandondocha mengi kutokana na kuwatumia Kibiashara. Na ivi mwezi umeandama, inawezekana watu wakawa wanabishana na watu wa mwezi mchanga
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom