chongchung
JF-Expert Member
- Jun 23, 2013
- 14,297
- 45,087
Em muulizeni kwa bahati mbaya tu vyuma kama hivi vilishawahi kupita bukoba japo tu kama it 😀😀😀
Kama hivi Christmas hizi gari zinafurika unafikiri kuna viwanda vya hivi vyuma bukoba saivi ni senene ndio wametamalaki😛
Asanta sana, huyu jamaa anayefananisha Moshi na Bukoba ni kichaa...
Ni sawa na New York (moshi) na Dar (bukoba)
Kama hivi Christmas hizi gari zinafurika unafikiri kuna viwanda vya hivi vyuma bukoba saivi ni senene ndio wametamalaki😛