Bukoba
hotel mbali mbali na pubs![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
bijampola hotel![]()
![]()
hotel nyingine katika mji Wa bandari kemondo bukoba cheki![]()
![]()
![]()
![]()
Kumbu kumbu ya vita vya kageramahandaki yaliyotumiwa
Mnara Wa ukumbusho
kanisa lililolipuliwa na IDD amin imebaki kivutio![]()
![]()
daraja la MTO kagera
sanamu ya mayunga
uwanja Wa vita
daraja la MTO kagera daraja la NNE tz![]()
Mimi si bukoba wala moshi lakini kwake niliyoyaona na kuyaskia moshi no zaidi ya matusi kwake bukoba kiukweli wamewaacha mbali SanaUpo vibaya sana kama kweli umetafuta cha kupost ndio ukaona ulete hiki basi unahitaji kuhurumiwa, hizi peleka bukombe ndio angalau mtaelewana.
Mimi si bukoba wala moshi lakini kwake niliyoyaona na kuyaskia moshi no zaidi ya matusi kwake bukoba kiukweli wamewaacha mbali Sana
Moshi imejengwa ila ni mji mdogo sana.Bk imepanuka kuliko Moshi.Hivyo hampaswi kudharauliana maana kila upande unazidi mwingine.Moshi ilipaswa kuwa juu hasa kwa utalii,but Arusha ilijengeka kwa adv ya moshi.Nawapongeza Haya kwa speed yao japo bado hawajafika.
Daraja la mto kageraBukoba imeiacha mbali Moshi kwenye kipi kuwa specifically kwamba kwa namna nilivyokaa au kutembea Bukoba na Moshi, Moshi au Bukoba imeiacha mbali mwenzake katika abcd hapo unaonekana unachoongea kina mantiki
Migheto ya nguvu bukobaBukoba imeiacha mbali Moshi kwenye kipi kuwa specifically kwamba kwa namna nilivyokaa au kutembea Bukoba na Moshi, Moshi au Bukoba imeiacha mbali mwenzake katika abcd hapo unaonekana unachoongea kina mantiki
Bukoba airportBukoba imeiacha mbali Moshi kwenye kipi kuwa specifically kwamba kwa namna nilivyokaa au kutembea Bukoba na Moshi, Moshi au Bukoba imeiacha mbali mwenzake katika abcd hapo unaonekana unachoongea kina mantiki
Kubalini tuu mshapigwa 3 bilaaa kwani dar hakuna wahaya?? watu wanatoka nje ya mkoa kutafuta alafu maendeleo yanarudi home huwezi fananisha moshi na bukoba amabayo hata lami ni tatizo we leo fika moshi nenda kibosho lami tupu uru lami tupu huko machame lami tupu mwika marangu lami tuu majengo yanashushwaje huko hahaha dar tumekuja kutafuta moshi kilimanjaro home sweet home...Kilimanjaro ingekua iko juu wasingekimbilia Dsm na mikoani wengi wao wamekimbia mji



We n mmoja kat ya 4 kata ya bukoba wenyeji tu ndo wako huko au??Kilimanjaro ingekua iko juu wasingekimbilia Dsm na mikoani wengi wao wamekimbia mji
Hotel za ajabu![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()