Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Bukoba,Singida kigoma,sumbawanga,Lindi,musoma,Ruvuma,na shinyanga,zimekuwa halmashauri za miji mpaka miaka ya hivi karibuni tu mpaka serikali ikaamua kuipandisha hadhi ya kuwa manispaa kwa kuibeba tu, wakati miji kama,mwanza,Arusha,mbeya,Tanga, moshi,dodoma,iringa,morogoro,Tabora,mtwara,ilishakuwa manispaa miaka mingi sana
 
Ni kweli lazima zikuchanganye kama hukutarajia moshi ingekuwa hivyo ila ukweli ndio huo na hizo pictures ni chache sana kama unavyojua majumba huku yamejificha migombani ni vigumu kupata pictures nyingi sababu nyumba zimeachana sana na moshi vijijini ni kubwa mno.

Na hapo sijaigusa kabisa Rombo, Mwanga, Same, Usangi ni balaa
Ukiwa chizi alafu unatembea uchi, tukikumbiza kuvaa nguo ukawa unakataa akuna budi kukulazimisha. Mmekimbia vijijini kwenu mmejazana apa Dar es salaam full ujambazi
 
Moshi Homes hizi watasema ni Australia hahaha
59609444.jpg
59609428.jpg
b445f9c21aab57cf5607f6b16b7c5b57FS.jpg
78684344.jpg
farmer-working-working-in-his-rice-fields-near-his-house-house-aerial-CN1CDK.jpg
290113005830DSC_0725FS.jpg
 
Kiongozi wala hatujapakimbia kwetu ndio maana tunarudi mara kwa mara na pamejengwa mara million ya huko ugenini sisi kuja huko ni sawa na mwanajeshi kwenda kambini, maisha ya kambini ni magumu kuliko maisha ya kwenye kituo cha kazi so tupo kambini tunajua tunachokitafuta.
Ukiwa chizi alafu unatembea uchi, tukikumbiza kuvaa nguo ukawa unakataa akuna budi kukulazimisha. Mmekimbia vijijini kwenu mmejazana apa Dar es salaam full ujambazi
 
Ukiwa chizi alafu unatembea uchi, tukikumbiza kuvaa nguo ukawa unakataa akuna budi kukulazimisha. Mmekimbia vijijini kwenu mmejazana apa Dar es salaam full ujambazi
mbona unahamisha mada mjomba?? Imekuwa kujazana dar tena full ujambazi .teh teh
 
Uwanja haupo moshi upi hai mpakani na arusha na sie tukileta za kagera nzima mtalia
Si ulete sasa maneno mengi ya nini? Wahaya bana nimewadharau sana. Mnapenda kushindana hata kwa mambo ambayo si levo yenu.
 
Mkuu nimewawekea kombora la nuclear hapo juu hizo nyumba kagera nzima hazipo hata za kuota naona hizo watasema ni pictures za London
Si ulete sasa maneno mengi ya nini? Wahaya bana nimewadharau sana. Mnapenda kushindana hata kwa mambo ambayo si levo yenu.
 
Vitu vingi ni vya uongo picha za kilimanjaro ni za uongo. Anachanganya na picha arusha na Nairobi. Moshi pa kawaida sana tofauti na wanavyojisifia
Hahaha naona mkuu Wa Moshi wameshakupiga tatu bila. Kubali tu matokeo
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom