Lancashire
JF-Expert Member
- Sep 20, 2014
- 14,082
- 10,454
Jambo ganiMoshi naijua,bukoba naijua kunajambo lakufanya sehem zote mbili
Acha mbwembwe wewe pale kwenu hilo jambo lipo?Moshi naijua,bukoba naijua kunajambo lakufanya sehem zote mbili
What a beautiful scene...Moshi...I love you.
Tunaomba picha mwenzangu we mchaga mmpenda sifaMatokeo ya utafuti huu yameupa mji wa MOSHI ushindi mkubwa dhidi ya BUKOBA kuanzia kiuchumi angalia website ya TRA, kimajengo, usafi, ustaarabu na hata mandhari Moshi is always green.
MOSHI 95%
BUKOBA 5%. Period.
Unachekeshaa sana mbona hamtuonyeshi poroja nyingi kama niniMatokeo ya utafuti huu yameupa mji wa MOSHI ushindi mkubwa dhidi ya BUKOBA kuanzia kiuchumi angalia website ya TRA, kimajengo, usafi, ustaarabu na hata mandhari Moshi is always green.
MOSHI 95%
BUKOBA 5%. Period.
We ni mtu wa ajabu sana yaani hizo picha zote huzioni au unaleta utani? ok na hiyo ya TRA je? kifupi upo wapi mie najitolea nauli uende Moshi ukapaoneTunaomba picha mwenzangu we mchaga mmpenda sifa
Kifupi mie sina utani na wahaya mie si JALUO, but kama hayo yote mapicha na facts zote zilizowekwa wewe huzioni then I think unalotatizo kubwa kwenye kichwa chako.Linganisha sasa
Moshi pachafu tuuuAisee manispaa chafu ipi hiyo![]()
Bora muongee, moshi ilikuwa vizuri Enzi za Mwalimu sio sasa ivi. Biashara zishawashindaMimi ni mchaga ila bukoba wako vizuri sana
Tatizo moshi wanawaza siasa muda wote, ndio maana wamepitwa na Manispaa nyingineMe si wa Bukoba wala Moshi ila .....Bukoba kwa Moshi bado sana tena kilometa nyingi tu wanasubiri. Ila miaka michache ijayo Moshi itakuwa inasubiri kwa mikoa mingi sana sababu commercial activities Moshi ni kama zimesimama na nguvu kazi hakuna tena kama zamani yani ni kama mji uliokimbiwa wakati wa vita na maendeleo hakuna tena yani mji uko doroo. Nyerere alifanya kazi nzuri kutuunganisha Watanzania maana siku hizi kila kukicha ni ubinafsi ,ukanda ,ukabila n.k unatamalaki vinginevyo tungeshamalizana.
Manispaa gani iko mbele tofauti na dodoma?Tatizo moshi wanawaza siasa muda wote, ndio maana wamepitwa na Manispaa nyingine
Kinyume chake, alikuwa amekoseaBukoba,kagera ni Mara tatu ya Kilimanjaro.kama sikosei
Kwanza kapige picha za kilimanjaro watu wengi waione, kama hata picha mmeshindwa kuleta apa. Watu watawaamini vip?Hahaaa instanbull usikonde mwakani tuombeane heri mdau wachagaa tutajichanga hapa tutakupa offer ya kwenda Kilimanjaro tukutembezee vijiji wilaya na vitongoji vyoote ukirudi hapa utakuwa kiumbe kipya amini hivyo manake kwa sasa unapapasa tu
Aya sasa watani wangu wachaga mambo haya. Kumbe sifa nyingi akuna kituWazungu wanatoka Arusha wanapita moshi kwenda kupanda mlima kilimanjaro, moshi mnaishia kuona wanapita tu, ndo maana CHUGA iko vizuri