Bukoba vs Moshi

Bukoba vs Moshi

Status
Not open for further replies.
Tetemeko, vita vya kagera,milipuko ya mabomu mwaka 94,utelekazaji Wa mkoa huu miaka ya 80, na 90 wakati bk ilijengwa kibepari lakini socialism ilikuja ikaaribu muundo na ukuaji Wa bk kwa kiasi kikubwa shule,viwanda,mashirika,majengo na vingine vilikufa,bk ilikuja kuamuka tena miaka ya 2000 tu ambayo imekuwa kwa kasi sana.na kumbuka katika majanga hayo hakuna fidia inayolipwa mfano vita vya kagera mji uliharibiwa sana ndo maana ukaangamia kama ilivyo sasa tetemeko.lakini watu walishutka mapema kwamba hakuna fidia ndo maana ukuaji haujaathirika sana.wengi usema bk IPO mbali na tz.
Acha uongo, vita vya Kagera viliathiri wilaya ya Missenyi hasa hasa Kuanzia Kyaka, Bunazi, Kassambya,Mutukula na Minziro. Baada ya daraja la mto Kagera kuvunjwa Bk ilifikiwaje na wanajeshi wa Uganda?.
 
Acha dharau za lining a njoo ujione vitu kama hivi
2cb362dcdb0135d94c280276b46bbbb5.jpg
ziwa la pili duniani kwa ukubwa na la kwanza Africa nzima utalii si mlima na mbuga tu ndo maana wanafika mpaka bk
Naona unaleta Historia, karibu Mwaka sasa meli haziendi BK
 
Endeleeni na ushamba hiyo ni haya museum.ukumbisho Wa maisha ya wahaya zamani acheni kusahau utamaduni wenu.ndo maana kihaya hakichuji
Utamaduni wakati mpaka leo watu wanakaa kwenye nyasi?
 
Msisahau kwamba Bukoba maendeleo na miundombinu yote wanabk wanajchanga hawaitegemei serikalini je utafikiri siku serikali wakiamua inakuwaje fikiria hata barabara maji wananchi wanajijengea serikali haiwapagi kipaumbele
 
Msisahau kwamba Bukoba maendeleo na miundombinu yote wanabk wanajchanga hawaitegemei serikalini je utafikiri siku serikali wakiamua inakuwaje fikiria hata barabara maji wananchi wanajijengea serikali haiwapagi kipaumbele

Moshi kitu gani kinategemea serikali kama kampuni za kitalii serikali haina, hotel hakuna ya serikali hata moja vyuo sio vya serikali kimoja tu ndo serikali ila maendeleo yanakuja kutokana na madiwani na manispaa yenyewe kutokana na ushuru na mapato ya mkoa kujenga barabara na huduma za kijamii ndio maana kuilinganisha bukoba inayosubiri ichangiwe na serikali na moshi ni kuikosea Moshi heshima
 
Naona unaleta Historia, karibu Mwaka sasa meli haziendi BK
Una uhakika ? Picha hiyo ni ya leo .meli za.mizigo bado zinafanya kazi.meli kubwa ya abiria. Ndo zinakosa.we wapi
 
Moshi kitu gani kinategemea serikali kama kampuni za kitalii serikali haina, hotel hakuna ya serikali hata moja vyuo sio vya serikali kimoja tu ndo serikali ila maendeleo yanakuja kutokana na madiwani na manispaa yenyewe kutokana na ushuru na mapato ya mkoa kujenga barabara na huduma za kijamii ndio maana kuilinganisha bukoba inayosubiri ichangiwe na serikali na moshi ni kuikosea Moshi heshima
Hoteli gani za maana zipo moshi nyingi zipo arusha. Sio moshi maskini moshi halafu porojo hatutaki .picha ndo kila kitu mnatuletea za miji mingine unafikiri hauifahamu moshi kwanza wanaiwekaga star TV kila siku
 
Moshi kitu gani kinategemea serikali kama kampuni za kitalii serikali haina, hotel hakuna ya serikali hata moja vyuo sio vya serikali kimoja tu ndo serikali ila maendeleo yanakuja kutokana na madiwani na manispaa yenyewe kutokana na ushuru na mapato ya mkoa kujenga barabara na huduma za kijamii ndio maana kuilinganisha bukoba inayosubiri ichangiwe na serikali na moshi ni kuikosea Moshi heshima
Inasubiri WAP wewe .fikira ni majan ga mangapi yameukumba mji lakini hauchoki kukua tetemeko limetokea hakuna aliepewa msaada tofaut na maji na biscuit. Ila 90% walishajenga.ushauri usicheze na natural calamities. Unalala tajiri unaamuka maskini omba yasikukute nyie mbona same mliomba msaada baada ya landslide
 
Waweke za bukoba zingine tofauti na lile kanisa, moshi tuwapige msumari wa mwisho
Eti ehh maskini hotel za uko zilivyo ndo maana wakenya wameuiba mlima hamjawekeza chochote mnazidiwa na hotel za bukoba mji usio Wa kitalii cheki
ca78d5b99216817b6dcc5afe64071803.jpg
d1f932c0d3e2a8e68228a7b34066b76b.jpg
c9c3566413bc8a07ddf0d85ce52604c3.jpg
0d79bece427b9dbb07ca08fa55c1cfad.jpg
bc1f0b6d280f3bbd88555e1a93ed785e.jpg
cad9f2c94e4121bb2a76f05273a132e4.jpg
1654883417a44ed33fd0b09c45ee3be8.jpg
9815fb7a4d5b50d60a70a656e39fc47a.jpg
f872750acebf864b54e92bd4c04e241f.jpg
a96e6d12424026b019dfa7f582146aec.jpg
0bbac426a1cdc1da127dcc513983ed9f.jpg
 
Acha uongo, vita vya Kagera viliathiri wilaya ya Missenyi hasa hasa Kuanzia Kyaka, Bunazi, Kassambya,Mutukula na Minziro. Baada ya daraja la mto Kagera kuvunjwa Bk ilifikiwaje na wanajeshi wa Uganda?.
Kwa taarifa yako kisiwa hiki kiliharibiwa na kukatwa na mabomu wakati Wa vita vya kagera kisiwa ni mtaa Wa manispaa ya bukoba
be3ca92e0c05581eac174267f23c6273.jpg
feb5c8427dd3de6ccaec5dd7e414ac2f.jpg
pia majengo mengi kama makao makuu ya mkoa mtaa Wa uzunguni kulipuliwa mabomu na watu 15 walifariki.pia miaka michache baadae Bomu lilipuka tumaini shuleni na kujeruhi kuua wanafunZi saba na shule kuharibika pamoja na mingine useme maeneo yaliyotekwa ndo hayo uliyotaja.ila bukoba ilishambuliwa mno.ndo maana ndege nyingine zilishindwa kulenga vizr mji ukusikia hiz stories waulize wenyeji kabla ya kuongea
 
Hahahaha....kama kukaa kwenye nyasi kama mnyama pori ndio ujanja, acha niwe mshamba tu.
Shida waafrica mnadharau utamaduni wenu uliowalea na kutaka kujifanya wazungu uhayani hatukubali yatokee ndo maana kuna museum nyingi kama hizo
 
Eti ehh maskini hotel za uko zilivyo ndo maana wakenya wameuiba mlima hamjawekeza chochote mnazidiwa na hotel za bukoba mji usio Wa kitalii cheki
ca78d5b99216817b6dcc5afe64071803.jpg
d1f932c0d3e2a8e68228a7b34066b76b.jpg
c9c3566413bc8a07ddf0d85ce52604c3.jpg
0d79bece427b9dbb07ca08fa55c1cfad.jpg
bc1f0b6d280f3bbd88555e1a93ed785e.jpg
cad9f2c94e4121bb2a76f05273a132e4.jpg
1654883417a44ed33fd0b09c45ee3be8.jpg
9815fb7a4d5b50d60a70a656e39fc47a.jpg
f872750acebf864b54e92bd4c04e241f.jpg
a96e6d12424026b019dfa7f582146aec.jpg
0bbac426a1cdc1da127dcc513983ed9f.jpg
Hapo najionea vimajengo na vingine vigofu vya mbao sasa hiyo beach ama msitu
 
Hoteli gani za maana zipo moshi nyingi zipo arusha. Sio moshi maskini moshi halafu porojo hatutaki .picha ndo kila kitu mnatuletea za miji mingine unafikiri hauifahamu moshi kwanza wanaiwekaga star TV kila siku
Ha ha ha hakuna picha ya tofauti na moshi hapo mjomba.niambie nikwambie ni wapi!
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom