instanbul
JF-Expert Member
- Jun 26, 2016
- 12,540
- 19,485
- Thread starter
- #981
Hivi nyie tukianza kuweka nyumba mojamoja hivi itakuwaje.pole sana moshi ebu subiria niwaonyesheKuna mijitu humu naamini kabisa kwa moyo wa dhati walikuwa wanapasikia moshi na hawajawahi kufika walikuwa wanataka waone hata kwa picha ndio maana wamekazania leta picha sasa tukiamua kuleta na zile za katikati ya migomba na kahawa sindo mtalia kabisa.