dr Akanyonyi Ako
JF-Expert Member
- Dec 31, 2012
- 244
- 87
Shuda siyo ccm. ..maendeleo yanaletwa na fikira zako mwenyewe. Hata ukiwapa chadema hawatakuwa na jipyaa!!Laana imkute mtu yeyote anayeongerea maswala ya ukabila miaka 50 baada ya uhuru wa kifikra.. Ppl like you is one of the reason ccm bado ipo madarakani

. Hivi unaijua beach au unaisikiaga??? Bk zipo za kumwaga