Come27
JF-Expert Member
- Dec 1, 2012
- 7,742
- 7,431
Kama aziend Bukoba zinaenda Dodoma au moshiNaona unaleta Historia, karibu Mwaka sasa meli haziendi BK
Kama aziend Bukoba zinaenda Dodoma au moshiNaona unaleta Historia, karibu Mwaka sasa meli haziendi BK
Kwanza kapige picha za kilimanjaro watu wengi waione, kama hata picha mmeshindwa kuleta apa. Watu watawaamini vip?
YAANI ULETE PICHA ZA MOSHI KULINGANISHA NA BUKOBA???? NI SAWA SAWA NA KULINGANISHA MAGARI AINA YA STARLET NA ROLLS ROYCE.Kwanza kapige picha za kilimanjaro watu wengi waione, kama hata picha mmeshindwa kuleta apa. Watu watawaamini vip?
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
YAANI ULETE PICHA ZA MOSHI KULINGANISHA NA BUKOBA???? NI SAWA SAWA NA KULINGANISHA MAGARI AINA YA STARLET NA ROLLS ROYCE.
Aya sasa watani wangu wachaga mambo haya. Kumbe sifa nyingi akuna kitu
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Kwanza kapige picha za kilimanjaro watu wengi waione, kama hata picha mmeshindwa kuleta apa. Watu watawaamini vip?
Kumekuwepo na mabishano makubwa kuhusu mji Wa bukoba na moshi ni mji gani mkubwa kwa eneo,majengo,idadi ya watu,miundo mbinu,mzunguko Wa pesa,na importance ya mji na location changia kwa facts. Karibu
Ficha ujinga wako wewe nyie ndio wale wanga mtu akijenga nyumba ya bati huko kwenu halali ndani eti moshi pachafu pasafi wapi.Bora muongee, moshi ilikuwa vizuri Enzi za Mwalimu sio sasa ivi. Biashara zishawashinda
Moshi pachafu tuuu
Kuna mijitu humu naamini kabisa kwa moyo wa dhati walikuwa wanapasikia moshi na hawajawahi kufika walikuwa wanataka waone hata kwa picha ndio maana wamekazania leta picha sasa tukiamua kuleta na zile za katikati ya migomba na kahawa sindo mtalia kabisa.
Acha ujinga wa kutafuta kiki weweMoshi panazidi Bukoba kwa kila sifa Wahaya wakipiga ela ukimbilia ng,ambo mimi ni Muhaya ila ukweli Wahaya wenye ela niwabinafsi wanatumia Bukoba kama maziko tu wakifa wanakuja kuzikwa tu.