Bado sijakuwekea picha za mji wa Moshi.subiri nimalizie kazi zangu hapa badae nitakutumia mpaka utakimbia hutoonekana tena hapa.Nawashangaa sana nakurudiarudia picha![]()
No research no right to speak........iko moshi weweHiyo picha baada ya round about ya KCMC siyo Moshi ni Iringa.
Mji wa bukoba uliharibiwa na IDD Amin na nyerere
Nyerere na chuk zake hakutaka kuupa kipaumbele mj wa bukoba!
Kimadhali bukoba ni mtamu kuliko mosh
Bukoba compare na dar sio mosh

Hahahaa mkuu,Kweli wewe Mhaya eti inapakana na Kenya na Burundi...Viwanda kama Balimi etc aaah Bukoba bado saana kwanza watu wa huko bado wanasumbuliwa na funza aka jiggers

Bukoba tena mwestella hotelnzangu bado
bukoba kolping hotel![]()
Una uhakika na usemalo hotel hii IPO barabara ya kwenda maruku km 5 kutoka katikati ya mji we wap labda kama za fanana
haijengeki hoja havilinganishiki hivooJenga hoja ww moshi n kubwa kwa jina nothing much abut it...
Arusha hotel hii hapa kabla ya kubishi Fanya utafiti labda zinafanaAcha uongo wewe kaka hii picha ya mwisho unayoita kolping hotel ni THE ARUSHA HOTEL, eish!
Unadanganya picha iweje kwa mfano? Hamuezi kuwa na hotel kama hiyo huko migombani eka picha za ukweliza bukoba
Una uhakika na usemalo hotel hii IPO barabara ya kwenda maruku km 5 kutoka katikati ya mji we wap labda kama za fanana
Arusha hotel hii hapa kabla ya kubishi Fanya utafiti labda zinafana![]()