BSS 2019 mrudisheni Hamis msituudhi mashabiki

BSS 2019 mrudisheni Hamis msituudhi mashabiki

Huyu jamaa aliimba vzr mnooo siku ya kwanza
Lkn jana kazingua
Sasa sijui woga au laah
 
huyo dogo gitaa tu lakini hana uwezo kuimba, kuna vichwa kama vitatu vina vocal moja hatarii!!..
Nimewaambia huyo jamaa kuimba bado sanaaa.. ajikaze na ajaribu kutengeneza vocal vizuri
 
Atoe gitaa .anaimba kawaida sana wabongo sijui wakoje
Hawajui mziki wanamuonea huruma huyo vocal hana kabisa... Ata guitar pia anapiga kawaida tuuu.. aendelee kuwaburudisha watu mtaani sio kwenye mashindano makubwa
 
Kwa anayefahamu muziki, hapo hataangalia sana jinsi alivyoimba bali hiyo sauti! Ni very powerful voice, na ni wachache sana wanakuwa na sauti yenye nguvu namna hiyo!! Hiyo ni sauti ya kuzaliwa nayo, mengine YOTE yanafundishika!
Hapo hayupo kufundishika akajifunze upya aje mwakani... Vocal bado japo anatoa sauti
 
Kiufupi tu, tunaomba huyu kijana mrudisheni apambane. Mnataka kipaji gani, kama mnataka pesa uwepo wake mnahisi utawaharibia ushindani kwakua anajua sana kwaiyo watu hatutapiga kura semeni.

Sauti ikipata mwalimu na mazoezi ya kutosha huyu dogo atawakimbiza.
 
Atoe gitaa .anaimba kawaida sana wabongo sijui wakoje
Kweli kabisa Kuna mtu hapa alikuja na thread ya huyu kijana na kusema huyo dogo atakuwa ndio mshindi wa bongo star search nikamwambia huyo dogo ana vocal ya kawaida ila gitaa ndo linambeba.
 
Acha kukuza mambo bhana mbona dogo wakawaida sana! Hana sauti hivyo hata MJ alikua anamlia timing tu atolewe. Inshort sauti yake haivutii anabebwa na guitar
 
Hapo hayupo kufundishika akajifunze upya aje mwakani... Vocal bado japo anatoa sauti
Hivi unajua nilichoongea wewe?! FYI, kwa Talent Manager/Agency anayejua muziki, kwa mashindano kama hayo anaweza kumchukua mwenye powerful voice, na energy ya kutosha kama alivyosema my girl Khantwe hapo juu na kumwacha anayeimba vizuri lakini amekosa hivyo vitu!!

Muziki unafundishika, na ndio maana Harmonize ambae aliimba hovyo sana pale BSS, alipooenda WCB na kukaa miaka miwili akipikwa, leo hii anasumbua kwenye game! Nilichosema kuhusu huyo dogo ni powerful voice inayoashiria kuwa na higher vocal range! Unaweza kuimba vizuri lakini ukawa na low or medium vocal range! Mtu mwenye higher vocal range anaweza kuimba wimbo wowote ule kwa sababu ana uwezo wa kupanda na kushuka, lakini mwenye vocal range ya kawaida, anapata shida sana kupanda, na ukimsikiliza utaona tu anavyo-struggle! Ukiwa studio, hakuna tatizo manake hivi sasa digital faking zimejaa studio lakini ukiwa kwenye live ndipo unapokuja kupata shida hapo!
 
Back
Top Bottom