Unaweza ku-anticipate energy yake kutokana na anavyoimba bila kutumia nguvu huku sauti ikiwa inatoka bila tatizo lolote! Look at him jinsi alivyo-relax. Binafsi sijaangalia hili shindano lakini jana nilipitia page ya BSS na kuona clips zake zingine, na zote yupo kwenye state ile ile: relaxed but sauti inatoka bila ngwengwe!! Hiyo ni hazina kubwa sana kwa msanii manake kama nilivyosema hapo kabla, mengine yote yanafundishika!!! Sauti kama huna, huna tu! Utakula sana mayai mabichi, enzi zetu utaenda beach kila siku kupiga yowe, lakini yote hayo yatakusaidia tu studio lakini ukiwa Live, utaumbuka tu!!
Na moja ya sifa kubwa za powerful voice sio tu kusikika with high pitch kama vile wanavyosika akina Rubby bali kuweza kusikika bila kuwa na hofu ya kuishiwa pumzi! Sioni ni namna gani yule dogo anavyoweza kukata pumzi!