Extrovert
JF-Expert Member
- Feb 29, 2016
- 72,173
- 190,742
Hahahahahaha dided mamaeee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
DIDED...
![]()
![]()
.. mke bora.... Duuu! Zote kali
Hahahahahaha dided mamaeee![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
DIDED...
![]()
![]()
.. mke bora.... Duuu! Zote kali
Hahahaahahahahah
Ahahaa dillema hio hahahahahakipindi kile bonge la kichupa
Kina shishi wapo wengi sanai wos clean my brain![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Hajakosea hapo ila the best sounding phrase was to say "on behalf of me"~~~Kwa niaba yangutatizo kiingereza hamjui mnajifanya majaji wa kiingereza, neno " on behalf of myself.." hutumiwa na viongozi kumaanisha yeye kwa nafasi aliyonayo mfano rais, waziri mkuu, n.k.
Kasome upya jamaa yangu bado una safari ndefu.
Hahahaa hio maanake tunasubiri kuku aive! Hahaahaha Tanzania raha sana hasa ukiwa na bundle
Aje tufundishane lugha
Haaahaaa
Ni kazuri kama ka-rangiHii sio broken ila ujumbe wake unafurahishaView attachment 674924
Mbavu zangu..hii Kigoma hii
Atakua ana mafua
Mbona hatuoni ng'ombe hapo?!
Grandfather??? huyo ni babu au bibi ?Broken ni nin hapo,nijuzen mana wengine hucheka kufuata mkumbo kumbe Std7 kitambo.![]()
replided by meHhahahaahahahahah daaaah huu uzi umenifanya nicheke kama mwehu, ina maana hawa wote kwenye hizi picha ni waTanzania? Daaah bora nlivyojitoaga FB ule sio mtandao ni gulio la wajinga.... dided by me
hhhhhhh bora umejidhihirisha........replided by mmUlinivunja moyo sana na kile kinyiramba chako jamani