Mshana Jr
Platinum Member
- Aug 19, 2012
- 360,925
- 831,354
- Thread starter
- #361
Kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili "Rest In Peace" au "Pumzika kwa Amani" imekaa kiroho zaidi kwa maana Marehemu/Hayati akiisha fariki mwili unazikwa lakini roho inakwenda kusubiri hukumu siku ya mwisho. Lakini ukiwa hai unaweza kupumzika lakini siyo kwa amani maana bado changamoto zinakusubiri.



That's very correct