Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

Kuna ulimwengu wa roho na ulimwengu wa mwili "Rest In Peace" au "Pumzika kwa Amani" imekaa kiroho zaidi kwa maana Marehemu/Hayati akiisha fariki mwili unazikwa lakini roho inakwenda kusubiri hukumu siku ya mwisho. Lakini ukiwa hai unaweza kupumzika lakini siyo kwa amani maana bado changamoto zinakusubiri.
That's very correct
 
Back
Top Bottom