mshipa
JF-Expert Member
- Jun 16, 2015
- 12,355
- 23,084
![]()
![]()
![]()
ila nawe umechapia kwenye gari
Weeee kimbiza waoaji....jua likizama 31+ na bado upo home utamfataaa tuuuHatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
Penye sijui nasema tu sijui kuliko kuchapia km hao wanaoletwa kwny Huu uzi mwishowe utukane bureWeeee kimbiza waoaji....jua likizama 31+ na bado upo home utamfataaa tuuu
Penye sijui nasema tu sijui kuliko kuchapia km hao wanaoletwa kwny Huu uzi mwishowe utukane bure

Hahahah fb inadharauliwa sababu ya mambo yake ya kipumbav
wa TZ bana kingereza kigumu kiswahili nacho ndo balaaah kabisa

Si aandike kiswahili tu
Hahaaa kiswahili nayo pia tabu jamani!