Siku izi twita kaiona Guantanamo
K mambo!Hatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
Hata genye zinakata kabisa
Mkuu "on behalf of myself" wanaoitumia wanaitumia kama idiom, ukichunguza syntactically (grammar) haina shida ila semantically (meaning) inaleta ukakasi kidogo ila wenye lugha yao pia huitumia japo sio sana'On behalf of myself" umesoma zile shule za jumuiya za ccm?
Itakuwa amekolea kwenye penzi mpka lugha inapoteaDuu mpaka lugha yetu wenyewe?
Yawezekana katembelea ranch yake kujionea shughuli za ufugajiSi aandike kiswahili tu
Ulinivunja moyo sana na kile kinyiramba chako jamaniHatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
wame graduate halafu
ha ha ha kirengesa
hii siku ya kuoga mkuu mshana
uwezo wao umeishia hapo na wanajiamini kinomaNimecheka sana..... Hivi wanakuwa wanajua wanacho kiandika ila ni kusudi au wanakuwa hawajui kabisa
mhnipo mpenz sema muosha masufuria hataki kutukutanisha tu