Sakayo
JF-Expert Member
- Sep 10, 2015
- 56,368
- 161,470
wew acha tu nipo mpenz msalimie shunieJamaani hunie nani anakufichaaaa![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
![]()
Nimejizuia kucheka lakini imeshindikana. Ame [HASHTAG]#rest[/HASHTAG] in [HASHTAG]#peace[/HASHTAG] kweli?
AiseeeAhsante jirani.
Habari za wewe! Siku imekwendaje? Mihangaiko je?
Akina cuzoo hawajambo?
Punguza ukimya my dear!!!!wew acha tu nipo mpenz msalimie shunie
Yaani amepumzika kwa Amani huku akipunga upepo mwananaNimejizuia kucheka lakini imeshindikana. Ame [HASHTAG]#rest[/HASHTAG] in [HASHTAG]#peace[/HASHTAG] kweli?
nipo mpenz sema muosha masufuria hataki kutukutanisha tuPunguza ukimya my dear!!!!
Shunie ataitika mpenzi
Ni wewe au kuna mtu kadukua*****
Hata mimi pia nimewahamu mnooo.Aiseee
Nimekuhamu ujue!!!!!
Mie sijambo, kina cuzoo ubusy mwingi!!!!!
Siku ilikuwa poa Sana, naamini na kwako ni salama zaidi!!!!
AsanteHata mimi pia nimewahamu mnooo.
Siku kwangu iko njema sana
Hayo masufuria yalishabuma siku nyinginipo mpenz sema muosha masufuria hataki kutukutanisha tu
Na wewe pia jiraniAsante
Uwe na wakati mwema
tatizo nini mpk yakabuma cc muosha runguHayo masufuria yalishabuma siku nyingi
Huyu kiboko
Hapo sioni alipokosea mbona?
Kichwa kama mundu