Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

Broken mixer za FACEBOOK, tupia yako

Hivi huyu alipotelea wapi? Huu uzi nao unachekesha sana LoL!

Hatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
 
.
IMG-20180606-WA0206.jpg
 
Only at Facebook you can get true analysis about our education in English language
Kabisa ndg. Mshana Jr . Ukitaka kuona uharibifu wa elimu yetu, angalia Kiingereza cha facebook na Twitter, ama niseme social media kwa ujumla. Ni janga kubwa mno ambalo tumelilea kwa muda mrefu. Tunahitaji kuyanya kitu kwa kweli.
 
Alooooooooooo si mchezo wakiendelea hivi watagundua lugha nyinginee si utani
 
Back
Top Bottom