mkali kwanza
JF-Expert Member
- Mar 12, 2012
- 1,301
- 1,186
Nimecheka yule wa Rest i peace dah watu banaHaaaa, hapa sio facebook
Nimecheka yule wa Rest i peace dah watu banaHaaaa, hapa sio facebook
Ukiwa na mke wa hivi, unaweza rudi nyumbani ukamchapa vibao kwa kweli
Hatarihatari ndo maana natumia kiswahili kiingereza sikijui, kuna mtu alinifata pm na kiinglish nikamwambia ngeli siijui zungumza Swahili huwezi potea akatiririka weee nikamjibu kilugha tena bonge ya insha mpaka leo sijamuona
Kwa huyo mama imeniumiza kidogoo ila basii tuu
Kabisa ndg. Mshana Jr . Ukitaka kuona uharibifu wa elimu yetu, angalia Kiingereza cha facebook na Twitter, ama niseme social media kwa ujumla. Ni janga kubwa mno ambalo tumelilea kwa muda mrefu. Tunahitaji kuyanya kitu kwa kweli.Only at Facebook you can get true analysis about our education in English language
In fact nae uliye mnukuu anatokea Chattle. Huwezi kujiwakilisha (on behalf of myself). Crap!'On behalf of myself" umesoma zile shule za jumuiya za ccm?
Alooooooooooo si mchezo wakiendelea hivi watagundua lugha nyinginee si utani




hakika. Ngoja nitupie zingine