britanicca
JF-Expert Member
- May 20, 2015
- 15,636
- 30,004
Ni mara yangu ya pili kufika Pyangyong !
Ni kazi zetu hizi hizi ambazo Kwa manufaa ya wengi si vema kuzisema sema!
Mwaka 2017 nilienda Korea kaskazini na nikakuta mashart magumu sana ambayo Kwa mtu asiye mvumulivu anaweza akajuta Kwenda !
Mashart kama vile
1. Kusindikizwa na wazawa wawili Kama waangalizi wa mgeni aingiaye
2. Ku surrender simu kwenye baadhi ya Mamlaka Au kuto ruhusiwa kuwa na mawasiliano yeyote nje ya Norh Korea
3. Internet haikuwapo (very limited) Kwa baadhi ya maeneo ya maafisa wa ngazi za juu za Usalama!
4. Kumbi za starehe na miziki zinacheza nyimbo maalumu Kwa uangalizi
5.Kama passport yako una stamp ya ama Britain 🇬🇧 / USA 🇺🇸 / Israel 🇮🇱 ni matatizo
6. Kwenda kwenye Locales zao kuliport kila baada ya Masaa 12 Kama roll cal
JE SAFARI HII MAMBO YAKOJE
Tuanze na Kionjo cha video hapa ni maeneo kadhaa
Video 2
Kadri siku zinavyoenda inaonekana bwana kiduku anaanza kulegea na kuendana na dunia inatakaje yaliyobadilika mpaka sasa
Pamoja na kwamba kila saa 12 Utaratibu wa Kwenda Freedom square kulaani vitendo walivyofanyiwa na Marekani Kwa kukaa Kimya ukionesha ishara ya kusikitika dakika 2 yaan 120 seconds mambo mengine mengi yamebadilika!
Hawazuii sana kupiga picha Kama zamani!!
Wageni hawazongwi sana kama zamani
Ku repot kwenye locale ni mara moja Kwa week siyo kila siku !
Waangalizi wa Kuchunguza shughuli ya mgeni hawapo close kama zamani!
Kwa sasa unaweza nyoa style yeyote ya nywele ila isifanane na ya KIM mwenyewe!
Mtandao wa internet Uko vizuri!!
Maendeleo yameanza kuwapo Korea kaskzini bajeti ilokuwa inagengwa 60% Kwenda jeshini now inaenda 35 tu!
North Korea wameruhusu mashirika ya Kimataifa kama msalaba mwekundu ambao walikuwa wame wa piga stop!
Japo Bado ndege ya Kwenda Korea ni Moja Air Koryo ila wageni wanakuja Kwa wingi ndani ya nchi hii!
Muhuri wa US Au Israel ndani ya Passport haikuzuii sasa kuingia!!
Hakuna kupewa special SIM card airport tena!!
Japo wameniweka ndani masaa 3 Kwa Ku record video moja Lakin wakaniachia Kwa mashart ya kuzifuta . NILI RECORD MAGARI YA FAMILIA YA JAMAA YAKE KIM WANAVYOFUNGA BARABARA AKIENDA SUPERMAKRT
nitaandika mengi
KIDUKU KALEGEA
Kuhusu Ukahaba Upo Ila kwa kujificha Sana na wanakulana tu
Ni kazi zetu hizi hizi ambazo Kwa manufaa ya wengi si vema kuzisema sema!
Mwaka 2017 nilienda Korea kaskazini na nikakuta mashart magumu sana ambayo Kwa mtu asiye mvumulivu anaweza akajuta Kwenda !
Mashart kama vile
1. Kusindikizwa na wazawa wawili Kama waangalizi wa mgeni aingiaye
2. Ku surrender simu kwenye baadhi ya Mamlaka Au kuto ruhusiwa kuwa na mawasiliano yeyote nje ya Norh Korea
3. Internet haikuwapo (very limited) Kwa baadhi ya maeneo ya maafisa wa ngazi za juu za Usalama!
4. Kumbi za starehe na miziki zinacheza nyimbo maalumu Kwa uangalizi
5.Kama passport yako una stamp ya ama Britain 🇬🇧 / USA 🇺🇸 / Israel 🇮🇱 ni matatizo
6. Kwenda kwenye Locales zao kuliport kila baada ya Masaa 12 Kama roll cal
JE SAFARI HII MAMBO YAKOJE
Tuanze na Kionjo cha video hapa ni maeneo kadhaa
Video 2
Kadri siku zinavyoenda inaonekana bwana kiduku anaanza kulegea na kuendana na dunia inatakaje yaliyobadilika mpaka sasa
Pamoja na kwamba kila saa 12 Utaratibu wa Kwenda Freedom square kulaani vitendo walivyofanyiwa na Marekani Kwa kukaa Kimya ukionesha ishara ya kusikitika dakika 2 yaan 120 seconds mambo mengine mengi yamebadilika!
Hawazuii sana kupiga picha Kama zamani!!
Wageni hawazongwi sana kama zamani
Ku repot kwenye locale ni mara moja Kwa week siyo kila siku !
Waangalizi wa Kuchunguza shughuli ya mgeni hawapo close kama zamani!
Kwa sasa unaweza nyoa style yeyote ya nywele ila isifanane na ya KIM mwenyewe!
Mtandao wa internet Uko vizuri!!
Maendeleo yameanza kuwapo Korea kaskzini bajeti ilokuwa inagengwa 60% Kwenda jeshini now inaenda 35 tu!
North Korea wameruhusu mashirika ya Kimataifa kama msalaba mwekundu ambao walikuwa wame wa piga stop!
Japo Bado ndege ya Kwenda Korea ni Moja Air Koryo ila wageni wanakuja Kwa wingi ndani ya nchi hii!
Muhuri wa US Au Israel ndani ya Passport haikuzuii sasa kuingia!!
Hakuna kupewa special SIM card airport tena!!
Japo wameniweka ndani masaa 3 Kwa Ku record video moja Lakin wakaniachia Kwa mashart ya kuzifuta . NILI RECORD MAGARI YA FAMILIA YA JAMAA YAKE KIM WANAVYOFUNGA BARABARA AKIENDA SUPERMAKRT
nitaandika mengi
KIDUKU KALEGEA
Kuhusu Ukahaba Upo Ila kwa kujificha Sana na wanakulana tu