Kamanda Asiyechoka
JF-Expert Member
- Sep 13, 2020
- 3,166
- 4,581
Mimi ni mtu wa kumwaga madini kila maraLeo umeona umuhimu wa kuzungumzia mambo yenye maana
Huna akili bwege mkubwa.Wewe ni Komredi Aliyechoka parody wa Lumumba, unahangaika tu.
Lini utaacha kunyonya wewe bwege?Haipo hata Lumumba?
Kama hivyo ni jambo jemaMimi ni mtu wa kumwaga madini kila mara
Huko kwenu, walio hai hudhani wao hawatakufa . Hufanyia wenzao unyama, ukatili na ubambikaji .Huna akili bwege mkubwa.
Siku zote tunaposema kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha matendo ya kidhalimu na kifedhuli ya kundi lile la INTERAHAMWE na ya CCM ni lazima watu watuelewe.Mmoja wa watuhumiwa wenzanke na Mbowe Mohamed Lig'wenya anadai kuwa alikamatwa na mwenzake anayeitwa Moses Lujenge lakini mpaka sasa haijulikani alipo.
Mohamed Ligw'enya ameieleza mahakama kuu divishen ya rushwa na uhuju uchumi kuwa Moses Lujenge alikuwa miongoni mwa watu aliokamatwa nao hivyo alipaswa kuwa mmoja wa watuhumiwa mahakamani. Lakini anadai kuwa askari polisi waliokuwa wakimsafirisha kutoka kituo cha polisi Tazara kwenda Mweni walimuambia kuwa Lujenge is dead.
Yuko huyu mtuhumiwa Moses Lujenge?
AiseeDead?
Tuleteeni Moses LijenjeWakuu kutokana na yanayoendelea kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake, hatuna budi kupaza sauti zetu kuisaidia familia ya Komandoo Moses Lijenje kujua status ya hali ya mpendwa wao, na pia kupaza sauti zidi ya matendo ovu ya jeshi la Polisi Tanzania dhidi ya RAIA wasiokuwa na hatia.
Bring back Moses Lijenje.
Except for Lijenje.Bring him back ALIVE.Wapo huru...
Inasikitisha sana...Except for Lijenje.Bring him back ALIVE.
Kuna siku watasema tuuHuyu komandoo wetu ndiyo basi tena, maana siku zinayoyoma kimyaaa.