Brings back Moses Lijenje campaign

Mmoja wa watuhumiwa wenzanke na Mbowe Mohamed Lig'wenya anadai kuwa alikamatwa na mwenzake anayeitwa Moses Lujenge lakini mpaka sasa haijulikani alipo.

Mohamed Ligw'enya ameieleza mahakama kuu divishen ya rushwa na uhuju uchumi kuwa Moses Lujenge alikuwa miongoni mwa watu aliokamatwa nao hivyo alipaswa kuwa mmoja wa watuhumiwa mahakamani. Lakini anadai kuwa askari polisi waliokuwa wakimsafirisha kutoka kituo cha polisi Tazara kwenda Mweni walimuambia kuwa Lujenge is dead.

Yuko huyu mtuhumiwa Moses Lujenge?
Siku zote tunaposema kuna mstari mwembamba sana unaotenganisha matendo ya kidhalimu na kifedhuli ya kundi lile la INTERAHAMWE na ya CCM ni lazima watu watuelewe.

Matendo hayo yanaratibiwa na makada katili, wazandiki na wenye fikra za uovu, ambayo husimamiwa na kutekelezwa na UVCCM na Green Guards waliofichwa ndani ya vyombo vya dola.

Majina ya watu kama Kingai, Mahita Jr, Sabaya na Makonda yenye kuhusishwa na uharamia uliotendeka wakati wa utawala wa mwendazake huthibitisha ukweli huu.

Sent from my Nokia 2.3 using JamiiForums mobile app
 
Wakuu kutokana na yanayoendelea kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake, hatuna budi kupaza sauti zetu kuisaidia familia ya Komandoo Moses Lijenje kujua status ya hali ya mpendwa wao, na pia kupaza sauti zidi ya matendo ovu ya jeshi la Polisi Tanzania dhidi ya RAIA wasiokuwa na hatia.

Bring back Moses Lijenje.
Tuleteeni Moses Lijenje
 
Sioni kama kingai ana maisha marefu jwtz wasikie tu tena komando uwiiiiiii kabisa naona vijana wa mabeyo wakienda kulipa kisasi kwa kijana wa siro
 
Huyu komandoo wetu ndiyo basi tena, maana siku zinayoyoma kimyaaa.
Kuna siku watasema tuu

Damu ya mtu hunuka
Sent using Jamii Forums mobile app
 
44 Reactions
Reply
Back
Top Bottom