Wakuu kutokana na yanayoendelea kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake,hatuna budi kupaza sauti zetu kuisaidia familia ya Komandoo Moses Lijenje kujua status ya hali ya mpendwa wao,na pia kupaza sauti zidi ya matendo ovu ya jeshi la Polisi Tanzania dhidi ya RAIA wasiokuwa na hatia.
Bring back Moses Lijenje.
Aisee hata ndugu yangu wa damu sitaki kusikia kabisa.Daaaah kumhamasisha mwanao kuwa polisi ni laana Sana Mungu saidia mwanangu asije kuwa police
Mwanajeshi akiwa uraiani anaishi kama Raia na yuko chink ha sheria za kiraia.Sema jeshi la siku hizi mdebwedo... Ingekuwa wanajeshi wa zamani, thubutuu!!!
Usiwasahau wafanyabiashara wa madini kutoka "Mlogolo"!These powpow-hores are murderers!Kumbukeni yule dreva Taxi wa kesi ya Msuya.
JAMAA ANADAI MPAKA WALIMUHASI. HAZALISHI TENA, ALAFU NDIO AKAACHIWA HURU
Kwahiyo ndo aonewe na polisiMwanajeshi akiwa uraiani anaishi kama Raia na yuko chink ha sheria za kiraia.
Huu ni mjadala unaoojitegemea na ingekuwa vema kama ungeitendea haki kwa kuianzisha chapisho linalojitejemea. Naamini muitikio utakuwa mkubwa kwa jinsi Watz wamevyochoshwa na hawa walioaminiwa na wakakabidhiwa silaha. Matokeo yake wamepoteza uaminifu kwa umma. Hawaaminiki tena. Nazungumzia polisisiemMakomandoo mliostaafu wote na kufukuzwa KJ 92 fanyeni jambo kunusuru hili Taifa na aibu hii kubwa
Wakuu kutokana na yanayoendelea kwenye kesi ya Ugaidi ya Mbowe na wenzake,hatuna budi kupaza sauti zetu kuisaidia familia ya Komandoo Moses Lijenje kujua status ya hali ya mpendwa wao,na pia kupaza sauti zidi ya matendo ovu ya jeshi la Polisi Tanzania dhidi ya RAIA wasiokuwa na hatia.
Bring back Moses Lijenje.
Waandishi wa habari wa Tanzania ni sifuri. Nashangaa mpaka sasa hawajafuatilia. Tulitakiwa tuwe tumejua kwao ni wapi na ndugu zake wana maoni gani.Aisee.
Tunapaswa kujua huyu mtu yuko wapi.
Hawezi kuzingua, anapokea order kutoka juuDah ujinga wa polisi chini ya siro unafikia mwisho Kama naona jwtz wanavyomtamani siro ajitekenye.
Duh hatari na nusu, hii kesi inaenda kuliumbua jeshi la polisi
ZooombeeeeUsiwasahau wafanyabiashara wa madini kutoka "Mlogolo"!These powpow-hores are murderers!
Hivi yuko wapi huyo mtu? Kingai and the Coy wajichunge.😝😝😝Zooombeeee