Ventilator
Member
- May 13, 2018
- 12
- 57
Wakati shahidi namba mbili na mshitakiwa namba tatu Mohammed Abdilah Ling'wenya wa kesi ndogo katika kesi ya Ugaidi inayowakabili kina Mbowe alimtaja Mosses Lijenje kudaiwa kutupwa na polisi wakati akifanyiwa vitisho.
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?
Mallya: Kitu gani Kiliendelea..?
Shahidi: Maaskari wakasema Mwenzenu Moses Lijenje tumeshamtupa, Ameshatangulia huku wakinigusa Kichwani na Kitu nilichokuwa nahisi kuwa ni Bastola, Ukileta Ujanja Ujanja na wewe tunakutupa
Mallya: Maneno haya ulikuwa unaambiwa wakati gani wakati wa Safari au baada ya Kufika
Huyu Moses Lijenje ni nani?
Je yupo wapi?
Je yupo hai?
Je anahusika vipi na hawa makomando?
Je anahusika vipi na hii kesi ya Mbowe?
Shahidi anaposema polisi kudai wameshamtupa wanamaanisha nini?