Lituye
JF-Expert Member
- Dec 27, 2015
- 1,862
- 5,680
Niwakumbushe tuu kidogo Rais akihojiwa na shirika la habari la Uingereza BBC aliitamkia Dunia na Tanzania kuwa Mbowe ni gaidi alikimbilia kujificha Kenya na wenzie alio kuwa akishilikiana nao walisha hukumiwa alibakia Mbowe tuu kuhukumiwa.
Watanzania wengi tulishitushwa na taarifa hiyo na kumshutumu Rais kuwa anasema uongo. Kwa kuwa hapakuwa na kesi yoyote ya Ugaidi Mahakamani iliyo hukumiwa Wala mtuhumiwa yeyote wa Ugaidi aliye hukumiwa zaidi ya wale Mashekhe wa Uamsho kutolewa Mahabusu.
Lakini ushahidi unao tolewa Mahakamani na Washitakiwa ambao pia ni Mashahidi upande wa Jamhuri unatuoonesha wazi kuwa Kuna Watuhumiwa wawili tayari wamesha hukumiwa. Na hukumu yao ilitekelezwa kuteswa na baadae kutupwa.
Mashadi wanasema walimuona Moses Lijenje na Denisi Urio wakiteswa na polisi na Kisha polisi wakawaeleza mwenzao Moses Lijenje wamemtupa baada ya kumtesa.Kwamba Moses Lijenje ametupwa kaburini au baharini hatujui ila uhakika ni kwamba wametupwa.
Hatuwezi kutilia shaka maelezo ya Washitakiwa kuwa Kuna wenzao wamesha uawa na polisi kwa kuwa maelezo yao yanafanana na maelezo ya Rais aliyoyasema akihojiwa na BBC kuwa Kuna Watuhumiwa tayari wamesha hukumiwa alibakia Mbowe tuu.
Kuhusu CCM kuua raia hilo halina shaka ushahidi ndio huu Rais ameusema wazi wazi na Watuhumiwa pia wamekiri wenzao wameuwa. Pia aliyekuwa Katibu mkuu CCM Bashiru Ally alikiri hadharani akisema CCM tunatumia Dora kubakia Madarakani
Sio hivyo tuu hata kiongozi wa umoja wa vijana CCM ambaye Sasa amepewa cheo Cha Ukuu wa Wilaya Kheri James eti ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya alisema walimkosa kosa Tundu Lissu kumuua kwa Risasi ila kwa Sasa watatumia sumu kumuua.
Sio hivyo tuu Makamu mwenyekiti wa CCM Philpi Mangula alinusurika kuuwa akiwa ktk kikao na Wana CCM wenzake kwa kupewa sumu. Polisi walisema wanawatafuta walio husika lakini mpka Sasa hakuna mtuhumiwa hata mmoja ili hali walio hudhuria kikao hicho kilicho ongozwa na mwenyekiti wao wanajulikana
Tunawakumbusha CCM msije sema hatukuwaambia baadae. Kesi za jinai hazina muda hata ipite miaka 30 zitaibuliwa hukumu yenu ipo pale pale.
Endeleeni kutuua raia tuu Kama kuku mwenzenu Albashiri Sasa yupo mikono salama Sudani imekubali akabidhiwe I C C
akajibu mauji aliyo yafanya.
CCM oyeeeee
Rais safiiiii
Kingai oyeeee
Mahita juuu
JWTZ oyeee
Polisi safiiiiii!!
Siro ngangariiii!!
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app
Watanzania wengi tulishitushwa na taarifa hiyo na kumshutumu Rais kuwa anasema uongo. Kwa kuwa hapakuwa na kesi yoyote ya Ugaidi Mahakamani iliyo hukumiwa Wala mtuhumiwa yeyote wa Ugaidi aliye hukumiwa zaidi ya wale Mashekhe wa Uamsho kutolewa Mahabusu.
Lakini ushahidi unao tolewa Mahakamani na Washitakiwa ambao pia ni Mashahidi upande wa Jamhuri unatuoonesha wazi kuwa Kuna Watuhumiwa wawili tayari wamesha hukumiwa. Na hukumu yao ilitekelezwa kuteswa na baadae kutupwa.
Mashadi wanasema walimuona Moses Lijenje na Denisi Urio wakiteswa na polisi na Kisha polisi wakawaeleza mwenzao Moses Lijenje wamemtupa baada ya kumtesa.Kwamba Moses Lijenje ametupwa kaburini au baharini hatujui ila uhakika ni kwamba wametupwa.
Hatuwezi kutilia shaka maelezo ya Washitakiwa kuwa Kuna wenzao wamesha uawa na polisi kwa kuwa maelezo yao yanafanana na maelezo ya Rais aliyoyasema akihojiwa na BBC kuwa Kuna Watuhumiwa tayari wamesha hukumiwa alibakia Mbowe tuu.
Kuhusu CCM kuua raia hilo halina shaka ushahidi ndio huu Rais ameusema wazi wazi na Watuhumiwa pia wamekiri wenzao wameuwa. Pia aliyekuwa Katibu mkuu CCM Bashiru Ally alikiri hadharani akisema CCM tunatumia Dora kubakia Madarakani
Sio hivyo tuu hata kiongozi wa umoja wa vijana CCM ambaye Sasa amepewa cheo Cha Ukuu wa Wilaya Kheri James eti ndio mwenyekiti wa kamati ya ulinzi na usalama wa Wilaya alisema walimkosa kosa Tundu Lissu kumuua kwa Risasi ila kwa Sasa watatumia sumu kumuua.
Sio hivyo tuu Makamu mwenyekiti wa CCM Philpi Mangula alinusurika kuuwa akiwa ktk kikao na Wana CCM wenzake kwa kupewa sumu. Polisi walisema wanawatafuta walio husika lakini mpka Sasa hakuna mtuhumiwa hata mmoja ili hali walio hudhuria kikao hicho kilicho ongozwa na mwenyekiti wao wanajulikana
Tunawakumbusha CCM msije sema hatukuwaambia baadae. Kesi za jinai hazina muda hata ipite miaka 30 zitaibuliwa hukumu yenu ipo pale pale.
Endeleeni kutuua raia tuu Kama kuku mwenzenu Albashiri Sasa yupo mikono salama Sudani imekubali akabidhiwe I C C
akajibu mauji aliyo yafanya.
CCM oyeeeee
Rais safiiiii
Kingai oyeeee
Mahita juuu
JWTZ oyeee
Polisi safiiiiii!!
Siro ngangariiii!!
Sent from my Infinix X688B using JamiiForums mobile app