Frank Wanjiru
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 21,838
- 38,729
- Thread starter
- #61
Alishafariki kitamboHivi yuko wapi huyo mtu?Kingai and the Coy wajichunge.
Alishafariki kitamboHivi yuko wapi huyo mtu?Kingai and the Coy wajichunge.
Kifo chake kilisababishwa na nini/nani?Alishafariki kitambo
Alikufa natural deathKifo chake kilisababishwa na nini/nani?
Na Ben saanane tunataka sirro na kingai watujulishe mini kiliwakuta hawa ndugu zetu mpaka leoJina linatajwa ila haonekani mahakamani Wala selo au, soon wasiojulikana watajulikana
Huyo ni msukuma pure sawaYupo Kwenye Pantoni ni Mkazi wa mwanza? naona kivuko hapo.
Sisi ukoo wetu yuko mmoja tu,yani huwa anajiona mpweke tukikutana kwenye sherehe au msibaHii kazi hata mjukuu wangu atakayejiunga alaaniwe.
Ushasema is dead unataka tufanyejeMmoja wa watuhumiwa wenzanke na Mbowe Mohamed Lig'wenya anadai kuwa alikamatwa na mwenzake anayeitwa Moses Lujenge lakini mpaka sasa haijulikani alipo.
Mohamed Ligw'enya ameieleza mahakama kuu divishen ya rushwa na uhuju uchumi kuwa Moses Lujenge alikuwa miongoni mwa watu aliokamatwa nao hivyo alipaswa kuwa mmoja wa watuhumiwa mahakamani. Lakini anadai kuwa askari polisi waliokuwa wakimsafirisha kutoka kituo cha polisi Tazara kwenda Mweni walimuambia kuwa Lujenge is dead.
Yuko huyu mtuhumiwa Moses Lujenge?
Imeandikwa Katika Biblia, kitabu cha Mithali 14:34 "Haki huinua Taifa na dhambi ni aibu ya watu wote" mwisho wa kunukuuMmoja wa watuhumiwa wenzanke na Mbowe Mohamed Lig'wenya anadai kuwa alikamatwa na mwenzake anayeitwa Moses Lujenge lakini mpaka sasa haijulikani alipo.
Mohamed Ligw'enya ameieleza mahakama kuu divishen ya rushwa na uhuju uchumi kuwa Moses Lujenge alikuwa miongoni mwa watu aliokamatwa nao hivyo alipaswa kuwa mmoja wa watuhumiwa mahakamani. Lakini anadai kuwa askari polisi waliokuwa wakimsafirisha kutoka kituo cha polisi Tazara kwenda Mweni walimuambia kuwa Lujenge is dead.
Yuko huyu mtuhumiwa Moses Lujenge?
Kingai kamtoa roho tayariMmoja wa watuhumiwa wenzanke na Mbowe Mohamed Lig'wenya anadai kuwa alikamatwa na mwenzake anayeitwa Moses Lujenge lakini mpaka sasa haijulikani alipo.
Mohamed Ligw'enya ameieleza mahakama kuu divishen ya rushwa na uhuju uchumi kuwa Moses Lujenge alikuwa miongoni mwa watu aliokamatwa nao hivyo alipaswa kuwa mmoja wa watuhumiwa mahakamani. Lakini anadai kuwa askari polisi waliokuwa wakimsafirisha kutoka kituo cha polisi Tazara kwenda Mweni walimuambia kuwa Lujenge is dead.
Yuko huyu mtuhumiwa Moses Lujenge?
Tunataka taarifa rasmi.Kingai kamtoa roho tayari
Haipo hata Lumumba?Tunataka taarifa rasmi.
Leo umeona umuhimu wa kuzungumzia mambo yenye maanaMmoja wa watuhumiwa wenzanke na Mbowe Mohamed Lig'wenya anadai kuwa alikamatwa na mwenzake anayeitwa Moses Lujenge lakini mpaka sasa haijulikani alipo.
Mohamed Ligw'enya ameieleza mahakama kuu divishen ya rushwa na uhuju uchumi kuwa Moses Lujenge alikuwa miongoni mwa watu aliokamatwa nao hivyo alipaswa kuwa mmoja wa watuhumiwa mahakamani. Lakini anadai kuwa askari polisi waliokuwa wakimsafirisha kutoka kituo cha polisi Tazara kwenda Mweni walimuambia kuwa Lujenge is dead.
Yuko huyu mtuhumiwa Moses Lujenge?
Mmoja wa watuhumiwa wenzanke na Mbowe Mohamed Lig'wenya anadai kuwa alikamatwa na mwenzake anayeitwa Moses Lujenge lakini mpaka sasa haijulikani alipo.
Mohamed Ligw'enya ameieleza mahakama kuu divishen ya rushwa na uhuju uchumi kuwa Moses Lujenge alikuwa miongoni mwa watu aliokamatwa nao hivyo alipaswa kuwa mmoja wa watuhumiwa mahakamani. Lakini anadai kuwa askari polisi waliokuwa wakimsafirisha kutoka kituo cha polisi Tazara kwenda Mweni walimuambia kuwa Lujenge is dead.
Yuko huyu mtuhumiwa Moses Lujenge?
Attention ya kitu gani? Mbona maisha ya wenzenu mnayachukulia kirahisi hivyo?Wazee wa kuruka na kila fursa..unaweza zani mna uchungu sana kumbe mna taka attention tu