Bora kuwa single!

Bora kuwa single!

all the best,lakini mawazo yako yamejikita kwenye ubinafsi mkuu sorry to say that,kuwa na watoto sio stress peke mwanadamu anaipata,maisha kwa ujumla yana stress sasa kwanini kuwa na watoto umeona inakupa stress tu na sio furaha,hata mtoto mmoja mboa poa sana,limtokalo mtu ndivyo alivyo
 
Hapa nmetabiriwa mabaya itabd niendee kwa mtalam aka nichek
 
Nna 32 now, sina mtoto na naona nimechelewa sana,
Screenshot_20260315_170037.jpg
 
Kwenye hii post nimetoka na point mbili-;
1 nimegundua humu kataa ndoa hawamo.
Kumbe huwa wanasapot huenda ni stress za mahusiano.

2 huenda team kataa ndoa ina ukomo wa mda/umri.
Na nadhan mwisho wa kataa ndoa ni age ya 35
Kabisa
 
SI ndomaana unaponda kuoa, utaoaje uko hivyo, utadhalilika.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom