Vien
JF-Expert Member
- Mar 6, 2020
- 7,289
- 11,787
MeWewe ni ke au me?
MeWewe ni ke au me?
Kumbe masingo hum hawana watetez
Asante kaka ila umr ushasonga 46 yrs sio mchezHuenda una sura ya saba mstari wa nane.
Ila kama ukiwa mbaya sura na pesa ipo, wadada hawakataagi, ni wavumilvu mno ikiwepo pesa.
Kwa ushauri wangu tu mjomba, nenda mikoa ya mbali kachumbie kule, angarau upate mtoto wa kurithi mali zako
Mkuu nakubaliana nawe kwa 80%. Kuoa sio muhimu lakini kuwa ja watoto ni muhimu. Na pia unapaswa kuwa na mpenzi (sio mke) kwa ajili ya kukata kiu na kukuzalia watoto. Ukifanya hivyo nitakukubali 💯%.Mimi nlipo nna miaka 46 sina mtoto wala mke,hakuna anaye npa stress npo zangu naenjoy life.
Nnacho mshukuru Mungu mm sio mlevi wala mwanakamaria, kiuwezo nipo vizuri. Ila mahusiano no sitaki kuwaza. Na mwanamke hana faida yeyot, kama nikupika napika ten msosi mtamu, hata kama ni watoto siwataki maan hawana msaada wowote kwangu, kataa ndoa\mahusiano okoa kibunda.
Asante kaka ila umr ushasonga 46 yrs sio mchez
😂😂😂😂😂Kwenye hii post nimetoka na point mbili-;
1 nimegundua humu kataa ndoa hawamo.
Kumbe huwa wanasapot huenda ni stress za mahusiano.
2 huenda team kataa ndoa ina ukomo wa mda/umri.
Na nadhan mwisho wa kataa ndoa ni age ya 35
usiniite kaka niite mwanangu, nina umri miaka 29.Asante kaka ila umr ushasonga 46 yrs sio mchez
Akifa atakuwa hajui, haimuathiri.Ngoja uumwe humo ndani, ndugu zako watashtukia umeshakufa. Na ukizeeka huna mtoto ndo taabu utakayoijutia, utafanya kazi za nyumbani una miaka 70?
tumweke sawa huyu ndugu yetu, umri wake bdo sana.Ni hitaji la binadamu, wataalamu wote waliochambua Hirerachy of needs hakuna aliyekanusha love/being needed/to belong kama sio hitaji la mwanadamu.
Yes bado sana.tumweke sawa huyu ndugu yetu, umri wake bdo sana.
Me 35 sio mbaya.Nna 32 now, sina mtoto na naona nimechelewa sana,
Hawezi kuajiri mtu kwa ajili ya shughuli kama hzo?Ngoja uumwe humo ndani, ndugu zako watashtukia umeshakufa. Na ukizeeka huna mtoto ndo taabu utakayoijutia, utafanya kazi za nyumbani una miaka 70?
Ni tatizo kwa binadamu tunaotaka tuendelee kuwepo mkuu.Binadamu kutoweka duniani ni tatizo kivipi?
Kipindi hicho hatukuwepo boss, sasa hivi tupo.Mbona dunia ilikuwa bila binadamu kwa miaka zaidi ya bilioni 14 na ilikuwa kawaida tu?
Ni tatizo kwa binadamu mnaotaka kuendelea kuwepo kivipi wakati hata nyie hamtakuwepo miaka 70 mbeleni? Mtaathirikaje??Ni tatizo kwa binadamu tunaotaka tuendelee kuwepo mkuu.
Kipindi hicho hatukuwepo boss, sasa hivi tupo.
Mfano, utake kuifuta JF kwa kuhoji JF kutokuwepo miaka ya 90 kwamba mbona ilikuwa kawaida, Ilikuwa kawaida sababu haikuwepo, sasa hivi ipo kuifuta ni tatizo kwa tunaotaka iendelee kuwepo.
Kuna kanamna bwasheee , nilichezwa na machale nikaoona nipekue mafaili yakeBwashee naona humuelew mtoa mada 😂
Tutaathirika kwa kujua kuwa uzao wa binadamu unakomea kwetu ilihali tulitaka wengine waendelee kuwepo.Ni tatizo kwa binadamu mnaotaka kuendelea kuwepo kivipi wakati hata nyie hamtakuwepo miaka 70 mbeleni? Mtaathirikaje??
Habari za JF unazitaka za nini na miaka 70 mbele hutakuwepo? Babu yako aliyefariki ananufaika nini kwa wewe kuhangaika na JF sasa hivi?Kufungwa kwa jamii forum ni tatizo kwa sababu nitakosa chanzo pekee huru cha habari, taarifa, Elimu na burudani kilicohabaki cha Kitanzania.