binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 13,096
- 34,350
Enheee mi nawaambiaga marafiki zangu labda uwe umelogwa kwenu, ila katika hali ya kawaida utashindwaje kupata mtu?Ukiona hautakiwi ujue huna mvuto. logical ipo hivyo.
Watu hutaka wale wanaowavutia.
Kuna mvuto WA kimaumbile,
Mvuto wa vipaji
Mvuto wa kazi na kipato.
Mvuto wa nguvu au cheo.
Inawezekana vipi MTU akakosa yote hayo?