samirnasri
JF-Expert Member
- Nov 8, 2010
- 1,388
- 213
Shindano la kumsaka superstar wa bongo wa muziki linafikia tamati leo huku kukiwa na uwezekano wa mzungu joseph pyne ambaye zaidi amekua akitamba na wimbo wa "malumbano/ msongamano" kuibuka mshindi baada ya kuonekana akiongoza katika kura zilizooneshwa wiki mbili zilizopita.
Naomba endapo mzungu ataibuka mshindi yasijitokeze yale yaliyomkuta richer adhia miss tanzania aliyeshambuliwa na makundi ya watu pamoja na vyombo vya habari kwamba wamechagua mshindi ambaye ni "muhindi" Inavyoelekea hakuna utaratibu unaowataka washiriki wa shindano hilo wawe raia wa tanzania ndio maana majaji walimpitisha kwenye mchujo!!!
Naomba endapo mzungu ataibuka mshindi yasijitokeze yale yaliyomkuta richer adhia miss tanzania aliyeshambuliwa na makundi ya watu pamoja na vyombo vya habari kwamba wamechagua mshindi ambaye ni "muhindi" Inavyoelekea hakuna utaratibu unaowataka washiriki wa shindano hilo wawe raia wa tanzania ndio maana majaji walimpitisha kwenye mchujo!!!