Huyo dada kitu cha Mengi lazima arushwe
ACHA Hiyo maneno
hahahaha, asivae matiti yapo nje. hata kanisani au ofisini akienda hivyo atafukuzwa kazi, lkn itv wanaruhusu uchafu kama huo
Kwa wale wanaofuatilia BSS 2010 live on ITV, Yule Mzungu alipomaliza kuimba alipewa nafasi Salam kutoa judgement akasema Mzungu akishinda BSS 2010 atajipiga risasi.Hii ni dharau kubwa sana na hata kama ni mzungu TZ hatuna ubaguzi wa namna hii.Imenisikitisha sana.Tumpigie mzungu kwa wingi ili tuone atakavyojiua.Tuma BSS 07 KWENDA 15550
Kwa wale wanaofuatilia BSS 2010 live on ITV, Yule Mzungu alipomaliza kuimba alipewa nafasi Salam kutoa judgement akasema Mzungu akishinda BSS 2010 atajipiga risasi.Hii ni dharau kubwa sana na hata kama ni mzungu TZ hatuna ubaguzi wa namna hii.Imenisikitisha sana.Tumpigie mzungu kwa wingi ili tuone atakavyojiua.Tuma BSS 07 KWENDA 15550
Mkuu kwa hilo siko na wewe. kapendeza na ni vazi la usiku na pia linaendana na hapo alipo.
huyu mzungu siyo member wa humu jf ze dick?binafsi napenda sana mzungu anavyoimba,pia ningependa sana ashinde kwakweli kama wanaangalia ubunifu na kipaji hasa jamaa anacho,sema sijui kama kigezo cha ushindi lazima uwe mtz au la,wat I ad ni kuwa mshindi wa kwanza M 30,wa pili M10,wa tatu M5,But my vote goes tu mzungu mzalamo
Kwa wale wanaofuatilia BSS 2010 live on ITV, Yule Mzungu alipomaliza kuimba alipewa nafasi Salam kutoa judgement akasema Mzungu akishinda BSS 2010 atajipiga risasi.Hii ni dharau kubwa sana na hata kama ni mzungu TZ hatuna ubaguzi wa namna hii.Imenisikitisha sana.Tumpigie mzungu kwa wingi ili tuone atakavyojiua.Tuma BSS 07 KWENDA 15550
Watendaji wa JF hebu tafadhali toeni hii habari ktk jukwaa hili.
Tafadhali sana coz kama mtu atashindwa kupeleka thread mahali husika atakuwa anayataka matusi yangu ambayo huwa natoa mapya kila siku...
Hili ni jukwaa la siasa na huyo Salama sidhani kama ni mwanasiasa.
So plz toa huu ushuzi hapa