Bongo Star Search (BSS) na mshindi mzungu!!

Nilidhani salama ktangaza kujiua aispoteuliwa ukuu wa wilaya

Kumbe thread imekosehswa njia na kuletwa kwenye politics

Hivi salama ni mwanachama wa chama gani ?
 
Watafanya kosa kubwa kumpa mzungu wakati hana work permit kwa kazi hii. Zengwe limejengwa kwa Salum wakamtoa!
 
This iz vere unprofesheno.
master j kama jaji anamfananisha msanii eti hana mvuto wa kisanii na akimuona ni kama anamuona mfungua geti nyumbani kwake
 
jamani tujaribu kua serious, mi na wengine tunazaidi ya miaka 5,hatuion hiyo itv,sasa hayo mambo ya bongo star search yanatuhusu nini kwenye jukwaa la siasa? Hii ni sehem ya maambo muhim ya kujenga nchi. Kuhusu huyo salama,simpendi kwakua hana maadili.
 
Bora Mzungu kamwagwa kwanini hata vigezo vya Utanzania vinachezewa? Mzungu wanini Bongo? Na ile ya mwakani itakuwa na wachina !
 
hahahaha, asivae matiti yapo nje. hata kanisani au ofisini akienda hivyo atafukuzwa kazi, lkn itv wanaruhusu uchafu kama huo

Kaka vazi la usiku hilo sio la kuendea kanisani wala ofisini acha kuzeeka vibaya
 
jamani sijui ni masikio yangu au ni kitu gani....master jay kasema sisi watanzania ni washamba shauri tunamshangaa mzungu kuimba kiswahili?....au nimelewa>
 
Nisichopenda kuhusu majaji ni kuanza kuatack washiriki badala ya kutoa komenti kwa alichoimba
 
Mzungu yuko makini anaposikiliza majaji wakinena jambo hii inaonesha yuko kikazi zaidi!
 
Kwa wale wanaofuatilia BSS 2010 live on ITV, Yule Mzungu alipomaliza kuimba alipewa nafasi Salam kutoa judgement akasema Mzungu akishinda BSS 2010 atajipiga risasi.Hii ni dharau kubwa sana na hata kama ni mzungu TZ hatuna ubaguzi wa namna hii.Imenisikitisha sana.Tumpigie mzungu kwa wingi ili tuone atakavyojiua.Tuma BSS 07 KWENDA 15550

Watendaji wa JF hebu tafadhali toeni hii habari ktk jukwaa hili.
Tafadhali sana coz kama mtu atashindwa kupeleka thread mahali husika atakuwa anayataka matusi yangu ambayo huwa natoa mapya kila siku...

So plz
 
Mkuu kwa hilo siko na wewe. kapendeza na ni vazi la usiku na pia linaendana na hapo alipo.
 
Kwa wale wanaofuatilia BSS 2010 live on ITV, Yule Mzungu alipomaliza kuimba alipewa nafasi Salam kutoa judgement akasema Mzungu akishinda BSS 2010 atajipiga risasi.Hii ni dharau kubwa sana na hata kama ni mzungu TZ hatuna ubaguzi wa namna hii.Imenisikitisha sana.Tumpigie mzungu kwa wingi ili tuone atakavyojiua.Tuma BSS 07 KWENDA 15550

Watendaji wa JF hebu tafadhali toeni hii habari ktk jukwaa hili.
Tafadhali sana coz kama mtu atashindwa kupeleka thread mahali husika atakuwa anayataka matusi yangu ambayo huwa natoa mapya kila siku...
Hili ni jukwaa la siasa na huyo Salama sidhani kama ni mwanasiasa.


So plz toa huu ushuzi hapa
 
binafsi napenda sana mzungu anavyoimba,pia ningependa sana ashinde kwakweli kama wanaangalia ubunifu na kipaji hasa jamaa anacho,sema sijui kama kigezo cha ushindi lazima uwe mtz au la,wat I ad ni kuwa mshindi wa kwanza M 30,wa pili M10,wa tatu M5,But my vote goes tu mzungu mzalamo
huyu mzungu siyo member wa humu jf ze dick?
 
Kwa wale wanaofuatilia BSS 2010 live on ITV, Yule Mzungu alipomaliza kuimba alipewa nafasi Salam kutoa judgement akasema Mzungu akishinda BSS 2010 atajipiga risasi.Hii ni dharau kubwa sana na hata kama ni mzungu TZ hatuna ubaguzi wa namna hii.Imenisikitisha sana.Tumpigie mzungu kwa wingi ili tuone atakavyojiua.Tuma BSS 07 KWENDA 15550

nampenda salama ila sipendi namna anavyofikisha comments zake kwa hao undergrounds.

Halafu wewe mkombozi usifanye kitu ila kumkomoa mtu.
 
Watendaji wa JF hebu tafadhali toeni hii habari ktk jukwaa hili.
Tafadhali sana coz kama mtu atashindwa kupeleka thread mahali husika atakuwa anayataka matusi yangu ambayo huwa natoa mapya kila siku...
Hili ni jukwaa la siasa na huyo Salama sidhani kama ni mwanasiasa.


So plz toa huu ushuzi hapa

watukane tu. Wanaona jukwaa la siasa ndo linachangiwa sana.
Watakunywa mkojo wakizani juice.
 
Back
Top Bottom