Horseshoe Arch
JF-Expert Member
- Aug 10, 2009
- 13,139
- 12,283
Just a talent!
What is the secret behind his success?
1 race?
2 language?
3 choice of song? Or
4 just a talent?
Wadau tujadili nini kimefanya 'mzungu' huyu kupendwa na wabongo.
Je matokeo yake yamechakachuliwa?
Mimi siwezi sema hayo maana sijui lakini hata wakati wa kupresent zawadi yeye yuko mbele nilimwona anafoka sijui ni nini kilitokea!Rita is so HIGH she's on cracks, weed or something...so wack..
Ukaburu ni Ukaburu tuu. Ukaburu hauwezi kuwa mbaya wakati anaeonewa ni Mwafrika tuu. Hata ukiuelekeza kwa yule asiye na sura na hulka kama zako, huo bado ni ukaburu. Tuache fikara za kutupa viwango vya chini kimafikara.
Mtu apewe heshima kutokana na utu wake, mwelekeo wake na huduma zake kwa jamii sio vinginevyo.
Hakuna uchakachuaji hapo. Any one among the best 5 could b a winer. Tuacheni ushamba wa kushobokea wazungu.Mzungu kachakachuliwa...mshindi wa tatu Ni joseph Pyne,.james Martin nafasi ya 2 na mshindi ni MARIAM MOHAMEDI
Borth of them
I guess you wanted to write "Both of them". However there are four alternatives while both is used for two.
Kweli.Bss 2010 imeabisha nchi.