Nyani Ngabu
Platinum Member
- May 15, 2006
- 92,227
- 113,583
tanzania sio ulaya ndio maana hata ukimpiga busu mwanamke hadharani ni kosa, kufanya tendo la ndoa hadaharni ni kosa. kuruhusu itv kutuonyesha yule mama alivyova kama yupo beach ni hatari, inaonyesha maadili zero hapo
Ndugu, hivi wewe uko sehemu gani ya Tanzania? Itigi?
Tangu lini busu hadharani limekuwa kosa na ni kosa kwa mujibu wa nani?