as1987
JF-Expert Member
- Jan 3, 2013
- 1,256
- 598
Ngoja nitafute valium, huyu anayeimba sasa ndio nani? Nishavurugwa hapa hata angepanda beyonce sitaki tena!
usinywe nyingi tu.....kesho maisha yaendelee
Ngoja nitafute valium, huyu anayeimba sasa ndio nani? Nishavurugwa hapa hata angepanda beyonce sitaki tena!
Unadhani Ntalala bila kushuhudia? Sitaki kusimuliwaTeh teh..Ngoja tumalizie tu
Cheki wabongo walivyomandezi yani banger kali kama hzo Za RunTown mijitu imekaaa. Kwel acha tumpe Kayumba tu
Hawa wanamuziki wa nje naona waandaaji wanapoteza hela tu....Jamaa anapiga makelele tu...
Hamfikii Christian Bella hata kidogo...Hata Yamoto Band hawafikii
Wangemrudisha tu yule mkongo aje kupiga pesa tena
ndio maana kuna mgombea anasema
ELIMU
ELIMU
ELIMU yaani tumeshindwa kumjua mtu mwenye kipaji
kati ya kayumba na fenabo???
ahahahahahaha!!wanatia aibu mapedesheeee wa bongo
We uko kwako inasomekaje?
Da mimi ni shabiki wa Fanabo lakini kajamaa kametushinda
Jamani vile ni viuno ni nini?
Diamond na Ali kiba teh msinichinje jamani. Au kina barnaba, rich mavoko, belle 9
Cjui wanawaza pesa walizomwaga pale kwa sifa. Bongo wanatia aibu
Cheki wabongo walivyomandezi yani banger kali kama hzo Za RunTown mijitu imekaaa. Kwel acha tumpe Kayumba tu
Nikama walivyo mleta Rick Rose kwenye fiesta akaishia kubweka tu kama mbwa .... whooooo whooooo whooooo mpaka show ikaisha