Bongo star search 2015

Bongo star search 2015

Nimejinyima usingizi kumbe najaimbiwa taarabu!!!! O my Tz talentism
 
Wangemrudisha tu yule mkongo aje kupiga pesa tena
 
BELLA na YAMOTO walikua wanatosha!huyu RUNTOWN performance jukwaani haziwezi
 
Naona Fonabo wetu ameshindwa na huyu mjanja wa uswahilini..ngoja nikalale zangu..vipaji havitendewi haki
 
Cheki wabongo walivyomandezi yani banger kali kama hzo Za RunTown mijitu imekaaa. Kwel acha tumpe Kayumba tu
 
papaa yuko api mbona haendi kutunza mijinoti yake pale mbele
 
Hawa wanamuziki wa nje naona waandaaji wanapoteza hela tu....Jamaa anapiga makelele tu...

Hamfikii Christian Bella hata kidogo...Hata Yamoto Band hawafikii
 
ndio maana kuna mgombea anasema
ELIMU
ELIMU
ELIMU yaani tumeshindwa kumjua mtu mwenye kipaji

kati ya kayumba na fenabo???
 
Ngoja nitafute valium, huyu anayeimba sasa ndio nani? Nishavurugwa hapa hata angepanda beyonce sitaki tena!
Hahahha anaitwa runtown sijui. Bora hata wasingemleta coz Christian bella ameshafanya matusi
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom