wachache sana wanaelewa hiloJudges wako bias.....
Sema Hizi ndio nyimbo waswahili wanapenda....Isha Mashauzi...Msagasumu....Vigodoro n.k
Kayumba ni sampuli ya Jumanne Iddi na yule mshindi wa mwisho Emmanuel Msuya....Ambao walikuwa na nyota ya kupendwa na wanacopy but hawaonekani kwenye soko la muziki...
Nassib Fonabo atafika mbali sana....Anaweza muziki
Kweli muziki wa bongo ni ujanja ujanja tu, usiku mwema wapendwa, ngoja nikalale tu, sijui hata huo usingizi kama utakuja.
Fonabo level zale Matusker Project fame huko sio haya makombe ya mbuzi"
Mfyuuuu zao
Poyeeee errKweli muziki wa bongo ni ujanja ujanja tu, usiku mwema wapendwa, ngoja nikalale tu, sijui hata huo usingizi kama utakuja.
Nampenda kayumba mtoto wa temeke oyoooooooool
Fonabo level zale Matusker Project fame huko sio haya makombe ya mbuzi"
mwimbaji na mwimbaji mwenye nyota